flash3

Tuesday, 18 September 2012

CAMP MULLA WAFANYA COLLABO NA WIZ KID....

                                                                   Camp mulla
Kutoka code za 254 Nairobi hawa si wengine wanafahamika kwa jina la Camp Mulla.Wasanii hawa wamefanya collabo na msanii  anayetokea pande za nigeria anafahamika kwa jina la Wiz Kid.Taarifa hii tumeipata baada ya  kundi kutoka 254 Camp  mulla kuandika katika mtandano wa kijamii unaojulikana kwa jina la Twitter.
                   
Huyu ndiyo msanii ambaye anatokea nchini Nigeria anafahamika kwa jina la Wiz kid amefanya collabo na wasanii kutoka Kenya wanajulikana kwa jina la  Camp mulla.

Usher and Shakira to become mentors on The Voice USA

Stars will replace Christina Aguilera and Cee Lo Green
Usher and Shakira
New mentors ... Usher and Shakira join The Voice USA

POP superstars Usher and Shakira are joining The Voice USA.

R&B star Usher and Colombian singer Shakira will replace mentors Christina Aguilera and Cee Lo Green for the fourth season of the show.
Genie in a Bottle singer Christina, 31, is taking a break to tour her new album.
Forget You star Green, 38, is stepping down for the season to develop new music and a sitcom based on his life.
Usher, 33, and 35-year-old Shakira will join original coaches Adam Levine from Maroon 5 and country music singer Blake Shelton.
Cee Lo Green, Christina Aguilera, Adam Levine and Blake Shelton
Original line-up ... Cee Lo Green, Christina Aguilera, Adam Levine and Blake Shelton
Christina said: "As I have expressed since day one of the show... I am a singer and performer first and I am so excited to get back to that love."
She confirmed that she would be eager to return to The Voice in the future as did Green who said he will be back for series five.

TEAM NEWS.........

Arsenal will be without first-choice goalkeeper Wojciech Szczesny for their Champions League opener against French champions Montpellier.
After missing two games, Szczesny returned for the 6-1 thrashing of Southampton at the weekend but has been ruled out with an ankle injury.
Vito Mannone will again deputise, while Abou Diaby (hip) is in the squad.
Tomas Rosicky (hamstring), Jack Wilshere (ankle), Bacary Sagna (leg) and Emmanuel Frimpong (knee) are out.
"Vito is very close to the number one jersey, and he gets another opportunity now," said Arsenal boss Arsene Wenger.
"He has belief and he has the mental strength to deal with that.
"He was on the list as goalkeeper number five at the beginning of the season and now he is number two. That shows you how quickly football can change."
With Lukasz Fabianski also sidelined because of injury, and Argentina youth international Damian Martinez not on Arsenal's Champions League squad list, 21-year-old academy product James Shea will be on the bench.
Russian winger Andrey Arshavin was not selected for the trip as Wenger's men look to start their Champions League campaign with a win.
Wenger will watch the game from the stands while he serves the first of a three-match ban for confronting the referee following their last-16 defeat by AC Milan in March.
Striker Olivier Giroud, who joined Arsenal this summer, is available to play against his old club.
Montpellier, who are making their Champions League debut, have won only one of their first five games as they seek to defend their French league title.
"What is happening at the moment is a bit depressing," Montpellier coach Rene Giraud said.
"We need to waken up quickly because, if not, we are going to be in for a big fall on Tuesday against Arsenal. We are conceding silly goals. It is quite worrying."

Usiku Wa leo Dimba La Klabu Bingwa Barani Ulaya Latarajiwa Kung'oa Nanga

Yanayotarajiwa Kujiri Uingereza Wikendi Hii!!

Sat 22 Sep 2012 - Premier League
  • Swansea v Everton 12:45
  • Chelsea v Stoke 15:00
  • Newcastle P - P Norwich
    Postponed - now being played Sun, Sept 23
  • Southampton v Aston Villa 15:00
  • West Brom v Reading 15:00
  • West Ham v Sunderland 15:00
  • Wigan v Fulham 15:00
Sun 23 Sep 2012 - Premier League
  • Liverpool v Man Utd 13:30
  • Newcastle v Norwich 15:00
  • Man City v Arsenal 16:00
  • Tottenham v QPR 16:00
Sat 29 Sep 2012 - Premier League
  • Arsenal v Chelsea 12:45

Monday, 17 September 2012

Picha Ya Leo.....

Du!! Swagga Balaa!!
Du!! C wewe wajifanya kuwa waweza kubeba mizigo beba sasa!!!!.............hahaha

HUU NDIO UKWELI KUHUSIANA NA MAHUSIANO YANGU MIMI NA WEMA SEPETU....

Najua watu wengi sana mnapenda Couple hii  na furaha yenu ni kutuona wawili sisi tukiwa kwenye Mahusiano ya kimapenzi.... na mmekua mkifurahi sana na story za hapa na pale mkiskia kua wawili sisi tumekua pamoja na hata pindi mkituona tuko pamoja pia Mmekua mkishangilia na kufurahi... bt ukweli ni kwamba Mimi na Wema hivi sasa si Wapenzi tumekua ni kama Dada na Kaka ama marafki tu wa kawaida ambao tunashirikiana katika kazi mbalimbali za sanaa na za n'nje ya sanaa, katika harakati za kujenga Taifa Letu... Pia ni vizuri ningependa mfahamu kwamba Wema ana Mpenzi wake ambae  namfaham na tunaheshimiana kama mtu na Shemeji yake........So das' de Truth abt me and Her!... and Get ready! kwa kazi tofautitofauti ambazo soon zitadondoka....