MFB.Entertainment | Mombasa| Kenya

Wednesday, 19 September 2012

Raundi hii Wema Nawe Umeamua Du!!


Baada ya Ant Ezekiel  kuto kuonyesha heshima katika jukwaa la serengeti fiesta sasa habari nyingine ambayo imetokea mkoani Morogoro siku ya serengeti fiesta  katika viwanja vya jamhuri.Msanii anayejulikama kwa jina la Wema sepetu alionekana amefaa nguo fupi ambayo sio ya heshima na hiki si kitu kizuri kwa mashabiki au hata mtanzania.Kwani hapo ndipo unajishusha thamani pia hata mashabiki wako hawata nunua kazi zako.Jamani tujiheshimu ili mwisho wa siku jina lako lipate kufika mbali lakni kama ni hivi sijui kama tutafikia.
MFB.Entertainment at 06:38
Share

No comments:

Post a Comment

‹
›
Home
View web version

About Me

My photo
MFB.Entertainment
View my complete profile
Powered by Blogger.