STAA wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’ amenyang’anywa gari aina ya Toyota Mark II na zilipendwa wa mwigizaji Jacqueline Wolper, Abdallah Mtoro ‘Dallas’.
Sosi wetu alisema: “Unajua Bob Junior ndiye aliyefanikisha Dallas kumpata Wolper, sasa baada ya wawili hao kumwagana ndipo jamaa akaamua kulichukua gari lake kwa Bob Junior.”
Dallas alipopatikana na kuulizwa alikiri: “Lile gari ni mali yangu, nilimpa
No comments:
Post a Comment