flash3

Thursday 5 July 2012

P-Day, Kuachilia Track Mpya Juma Lijalo...........

Msanii wa kizazi kipya hapa mkoani P-Day ambaye amekuwa Talk of Town, anatarajiwa kuachilia wimbo wake mpya ambao ameutaja kama tetemesho la mji.
Akihojiwa na mwandishi wa mtandao huu mike Bwax, P-DAY amesema kuwa mkoani humu hana mpinzani kwani yeye hushindana na talanta yake mwenyewe.

 aidha ameutaja mziki wa eneo hili kama mziki unaofaa ,kutuzwa kama mziki bora nchini kufutia hali yake ya kukuwa kwa haraka sana.
Hata hivyo  mwiba huyu wa muziki huu amewashukuru wote wanao fagilia muziki wake wakiwemo watangzaji wa Redio.
wakati uo huo P-day hakuachwa nyuma kuwakemea wanao dhalilisha mziki huu wa wana pwani.
ameahidi kuvurumisha na kuwapa mashabiki wake haki yao ya maskio.










(  msanii p-day..........akipoz kwa picha)
 
P-DAY (mwenye tai nyeusi) akiwa na mmiliki wa studio ya e-30(mwenye mavazi mekundu), Alkenia Luv(mwenye kofia)pamoja na Producer wa E-30....

No comments:

Post a Comment