flash3

Friday 20 September 2013

Hip Hop Kenya Yazidi Kupaa_

Kichwa Kigmu Cha Hip Hop_Kaa Lamoto Kiumbe, Amejitosa Katika Ulingo Huu Kwa Kishindo Na Kukamata Wengi Katika Sanaa Hii_Sio Siri Ameleta Mwamko iTofauti Na Hisia Za Kivyake Na Kuwafanya Wengi Waliokosa Imani Na Sanaa Ya Muziki Kutoka Kenya Ya Pwani Sasa Kubadilisha Hisia Zao Kuukodolea Macho Mziki Kutoka Pwani.
Hata Hivyo Amejiunga Na Wakali Wa Hip Hop Wa Kitambo Kutoka Pande Hii Ya Pwani Kama Vile Vichwa Vigumu, Cannibal aka Shata, Tupesh, Mc Kimbo, Hip Hop Ammy, Crazy K Etc.

No comments:

Post a Comment