flash3

Monday 29 April 2013

Revealed: The Late Hon. Mutula Kilonzo Had A Secret That Could Have Shocked Kenyans!

Revealed: The  Late Hon. Mutula Kilonzo Had  A Secret That Could Have Shocked Kenyans!
There is a secret so big that Makueni Senator Mutula Kilonzo will take to his grave. It is a story he warned Standard reporter Roselyne Obala would shake Kenya.
Though he refused to give details, the late Senior Counsel insisted to Obala the story would not only surprise Kenyans, but could have major consequences.
That was on March 28 after Mutula was sworn in as Senator
Mutula, a straight-talking politician and astute lawyer, told Obala a month before he died that he would reveal to her the secret he bore ‘with time’, but sadly he died before they could meet again.
On that March 28, after being sworn-in as Senator for Makueni, he said, during a short interview, that he had information that if published in the media, would “cause panic and mayhem”.
Said Obala: “A jovial Kilonzo emerged from the Senate and we had a brief encounter at the Senator’s lounge. It was on Thursday afternoon on March 28, when I engaged him in an interview to get to understand the Senate’s role,’’ reports Obala.
“From the outset, he appeared happy, energetic and raring to go, dressed in a brown suit. We exchanged pleasantries, and I began by congratulating him on his election as Senator for Makueni.”
Suddenly diverted
Obala goes on: “He began outlining the responsibilities of Senators and how they will take the National Government to task over devolution. He then said their role was to be a link between County Governments and National Government.”
Mutula was explaining how they intend to take on the National Government over the implementation of the Devolution, “when he suddenly diverted and stated that there is a lot going on that Kenyans need to know,’’ Obala went on.
Mutula told her that it is no secret that the National Government is trying to frustrate the implementation of Devolved Government. ”
It was at this juncture that his tone changed, he looked serious and stated; “I have information that if I disclose to you Monday, your papers will be burnt the next minute.”
The statement came as a surprise, but when Obala pressed him, because she was curious to know more, and even offered not to name him in the story, Kilonzo retorted: “No, No, No.”
She pleaded with him, saying, “Please Mheshimiwa (Honourable), I will use an anonymous source,” he declined.
When she insisted he reiterated as they walked down the stairs: “Save the company (Standard Group Limited) and yourself.  I promise to give you the information at the right time.”
Those were Mutula’s last words to the journalist as he walked away and, unfortunately, that is where the big story that never came to life ended.
Kenyans must worry, what is the secret, what dossier was Mutula talking about? If indeed it could shake Kenyans and burn down Standard Group Limited as he said then obviously that involves powerful people/institution that if rattled can not hesitate to bite!

REAL EVENTS THAT LEAD TO MUTULA'S DEATH


Photo: SHOCKING!!

REAL EVENTS THAT LEAD TO MUTULA'S DEATH

According to a housekeeper who
found Mutula’s body in his bedroom,
the politician arrived at the farmhouse
about 2pm and appeared okay. The
late Senator retreated to his bedroom
after having his favourite meal of
githeri and roast meat at 7pm.
A worker who did not wish to be
named said his boss was in a jovial
mood when he arrived home driving
himself: “He parked the vehicle at the
parking bay and walked into the
house after greeting us.”
Sources said the late Mutula usually
showed up for his breakfast between
9.30 and 10.30 whenever he is on the
farm. But on Saturday he did not,
prompting his long-serving cook to go
and wake him up
The aged cook said he knocked on his
boss’ door several times without
reply. He then turned on the door’s
handle and went in: “He appeared
deeply asleep with a lot of foam
coming from his mouth,” he said
adding that he immediately called for
the farm manager.
The manager then called Mutula’s son
Mutula Kilonzo Junior and a brother
in law, Chris Musau, who were the
first to arrive at the scene. Police
officers led by Machakos Deputy
OCPD Wambugu and DCIO Kavete
Kuloba visited the homestead after
being informed by the late minister’s
family.
He was the only one in the main
house, as the rest of the family was
said to be in his Muthaiga home, in
Nairobi
According to the police, the
deceased had vomited on his
bathroom sink, a pointer to the fact
that he woke up at some point to
vomit and went back to sleep.
A leading Nairobi based medical
practitioner who did not want to be
named explained that The cause of
death is difficult to determine without
a physical examination.
“Right now the best way to find out
the cause is to wait for postmortem
examination. There are many things
which need to be evaluated before
commenting on the cause”. said the
doctor
“But I can say that the house help’s
narration that the Hon Senator was
Frothing in the mouth happens
mostly in poisoning and drug over
dosages because of the piled up
secretions in the airway and
aspiration. The prior vomiting could
have led to dehydration” the doctor
added
“A Post Mortem report will be
able to confirm the cause of his
death” the doctor concluded.
Pathologists led by Chief Government
pathologist, Dr Johansen Oduor
performed preliminary examination
on the body before removing and
taking it to Nairobi’s Lee Funeral
Home.
R.I.P...

Kindly comment with an "RIP" to salute this legend
According to a housekeeper who
found Mutula’s body in his bedroom,
the politician arrived at the farmhouse
about 2pm and appeared okay. The
late Senator retreated to his bedroom
after having his favourite meal of
githeri and roast meat at 7pm.
A worker who did not wish to be
named said his boss was in a jovial
mood when he arrived home driving
himself: “He parked the vehicle at the
parking bay and walked into the
house after greeting us.”
Sources said the late Mutula usually
showed up for his breakfast between
9.30 and 10.30 whenever he is on the
farm. But on Saturday he did not,
prompting his long-serving cook to go
and wake him up
The aged cook said he knocked on his
boss’ door several times without
reply. He then turned on the door’s
handle and went in: “He appeared
deeply asleep with a lot of foam
coming from his mouth,” he said
adding that he immediately called for
the farm manager.
The manager then called Mutula’s son
Mutula Kilonzo Junior and a brother
in law, Chris Musau, who were the
first to arrive at the scene. Police
officers led by Machakos Deputy
OCPD Wambugu and DCIO Kavete
Kuloba visited the homestead after
being informed by the late minister’s
family.
He was the only one in the main
house, as the rest of the family was
said to be in his Muthaiga home, in
Nairobi
According to the police, the
deceased had vomited on his
bathroom sink, a pointer to the fact
that he woke up at some point to
vomit and went back to sleep.
A leading Nairobi based medical
practitioner who did not want to be
named explained that The cause of
death is difficult to determine without
a physical examination.
“Right now the best way to find out
the cause is to wait for postmortem
examination. There are many things
which need to be evaluated before
commenting on the cause”. said the
doctor
“But I can say that the house help’s
narration that the Hon Senator was
Frothing in the mouth happens
mostly in poisoning and drug over
dosages because of the piled up
secretions in the airway and
aspiration. The prior vomiting could
have led to dehydration” the doctor
added
“A Post Mortem report will be
able to confirm the cause of his
death” the doctor concluded.
Pathologists led by Chief Government
pathologist, Dr Johansen Oduor
performed preliminary examination
on the body before removing and
taking it to Nairobi’s Lee Funeral
Home.
R.I.P...

Friday 26 April 2013

KUHUSU PALTROW KUTAJWA MREMBO WA DUNIA

Gwyneth Paltrow
Jarida moja maarufu nchini Marekani limemtaja muigizaji nyota wa kike mshindi wa tuzo za Oscar, Gwyneth Paltrow kama ‘World’s Most Beautiful Woman of the year 2013′ crown ambayo imewahi kushikiliwa na msanii kama Beyonce, Julia Roberts na Jennifer Lopez.
Mwanamama huyo ambaye amezaa watoto wawili Apple na Moses, mwenye umri wa miaka 40, amefunga ndoa na mwimbaji kiongozi wa bendi maarufu ya
miondoko ya pop na rock Coldplay, anayeitwa Chris Martin.
Hivi sasa mwanamama huyo ambaye ametamba katika filamu maarufu za Shakespeare in Love, The Avengers, hivi sasa anafanya promotion huko Hollywood kwa ajili ya kuitangaza filamu mpya ya “Iron Man 3,” ambayo inatarajia kutoklezea katika majumba ya cinema nchini Marekani mwezi ujao.

SUPRISE YA STAR WA NOLLYWOOD ‘MERCY JOHNSON’ KWA MTOTO WAKE

mercy-johnson
Wakiwa wametua nchini Nigeria baada ya kumaliza muda wao nchini Marekani muigizaji nyota wa Nollywood Mercy Johnson aliyejifungua mtoto wake wa kike nchini Marekani nakumuita ‘Purity’ anatarajia kufanya wakfu ya sherehe ya utambulisho ya mtoto wake huyo.
Mercy ameelezea kuwa wakfu huo inatarajiwa kufanyika tarehe 28 ya mwezi huu ambapo baadhi ya watu na mastaa mbalimbali wamealikwa ili kuweza kumwona na kuungana kwa pamoja na familia ya muigizaji huyo ambayo imehamia katika nyumba yao iliyopo huko Thomas Estate, Ajah, Lagos.

URBUN BOYS: KUNDI LA MZIKI LINALOFANYA POA ZAIDI RWANDA

Urban-Boys
Kundi la muziki la Urban Boys la mjini Kigali nchini Rwanda limefyatua kibao chao kipya walichokibatiza jina Kelele ambapo kiongozi wa kundi hilo Humble Jizzo ameweka wazi kuwa tayari kichupa hicho ambacho kinafanyiwa utayarishaji na prodyuza Ark Menz ,kinatarajia kuwa hewani muda wowote kuanzia sasa.
Kundi hilo lenye wasanii watatu wa kiume wakiwemo James Manzi, aka Humble Jizzo, Safi Niyibikora, aka Safi Lee na Muhammed Nshimi-yimana, anayejulikana kama Nizzo wamesema kuwa wana imani na prodyuza huyo kwani aliwahi kuwatayarishia wimbo wao unaoitwa ‘Bibaye’, uliowahi kushinda tuzo ya wimbo bora wa mwaka huu wa 2013.
Urban-Boys
Aidha prodyuza huyo aliwahi pia kufanya kazi na nyota wengine wa Uganda wakiwemo Grace Nakimera, Iryn Namubiru, Weasel & Radio na msanii wa kike wa Uganda mwenye makazi yake nchini Uingereza Fyonna Nsubuga, na wengineo.

CAMPMULLA: KUNDI HALIJAVUNJIKA

Camp Mulla
Baada ya rumors kutembea all over the way kuwa kundi la camp mulla nchini Kenya huenda likavunjika, wakali hao wametoa ufafanuzi kuwa lengo si kutengana isipokuwa kujipa nafasi kufanya solo project.
Mmoja wa memba wa kundi hilo, Shappa Man, ameweka wazi kuwa katika kipindi cha miezi miwili ijayo wasanii wa kundi hilo watakuwa wakiachia tu solo singles ambazo nia na madhumuni ni kutoa ile fikra ya kwamba kundi hilo linavunjika bali wanaendeleza fani zao nje ya kundi.
Shappa man amemalizia kwa kuelezea kuwa hii itakuwa ndio safari nzima ya kuweza kuelekea katika kazi za nje ya kundi na itasaidia pia kulipa sifa kundi hilo kutokana na watu wengi kulikubali kuanzia ndani na nje ya nchi kwani tayari wamejijenga kimataifa zaidi.

Thursday 25 April 2013

HII NDIO AINA YA GARI ANAYO MILIKI JAGUAR KWASASA

bantley
Mkaree anayefanya poa sana nchini Jaguar baada ya kuachia trak yake mpya iliyobatizwa jina ‘Kipepeo’ hivi sasa anafanya shooting ya kichupa chake kipya.
Ni hivi karibuni habari zimeenea kuwa Jaguar amekuwa ni msanii mwenye mafanikio hadi kufikia kununua gari la kifahari aina ya Bentley ambalo limetumika mahususi kwa ajili ya video shoot ya kichupa hicho.
Gari jipya aina ya Bentley thamani yake ni $200,000 hadi $500,000 inategemea na ni model gani

KAMA HUAMINI PESA NDIO KILA KITU SOMA HAPA

chika ike
Chika Bila make up
Ama kweli pesa ni kila kitu na hili limedhihirishwa na mmoja wa waigizaji mahiri wa filamu za Nollwood nchini Nigeria Chika Ike ambaye ameamua kunyoa upara ili kutimiza sharti la malipo ya Naira Million 5 anazotaraji kulipwa atakapocheza movie mpya akiwa hivyo.
Chika2
Chika akiwa na make up
Ni hivi karibuni dashosti huyo aliposti kwenye mtandao akionyesha hundi ya kiasi hicho cha Naira millioni 5 ambazo ametakiwa kulipwa kwa ajili ya kuigiza filamu hiyo mpya.

JACKIE APPIAH KAOLEWA TENA

appiah
Mwigizaji mkali wa Ghana, Jackie Apiah ambaye miezi michache iliyopita alipewa talaka kwenye ndoa yake iliyojaa migogoro, kwa sasa imefahamika kuwa anajipanga kwa ajili ya kufunga ndoa tena.
Jackie ambaye ni mama wa mtoto mmoja, safari hii anatarajia kufunga ndoa na mpenzi wake kutoka nchini Naijeria, Bobby Obodo ambaye naye pia ni mwigizaji, na hii ni baada ya ndoa yake iliyodumu kwa miaka 5 na baba mtoto wake, Peter Agyemah kuvunjika.
Jackie pamoja na Bobby kwa sasa wamezidisha ukaribu wao kwa kiasi kikubwa na tayari taarifa zinaweka wazi kuwa Bobby amekwishaji tambulisha kwa familia ya Jackie na kupokelewa vizuri.

MIKE TYSON HAONI HATARI KITENDO ALICHOFANYA LUIS SUAREZ

TYSON
Aliyekuwa bondia wa kimataifa, Mike Tyson ameendelea kuwashangaza wengi hasa baada ya kuendelea kuonyesha hisia zake za kumsapoti mchezaji wa Liverpool, Luis Suarez kwa kitendo chake cha kumn’gata mchezaji mwenzake uwanjani juzi.
Baada ya kuvuta attention ya watu kwa kumfuata mchezaji huyu katika mtandao wa Twitter, Tyson wakati akijibu swali juu ya hatua yake hii amesema kuwa mambo kama haya hutokea na ana hakika kuwa Suarez amekwisha elewana na Ivanovic kama yeye aliweka mambo sawa na Evander baada ya kumng’ata sikio mwaka 1997.
Tyson ameweka sawa kuwa, amemfuata mchezaji huku katika mtandao si kwa ajili ya kuunga mkono vitendo vya ung’ataji, ila amefanya hivyo kwa lengo la kumfahamu zaidi yeye pamoja na visa vyake vya ung’ataji.

JINSI ATAKAVYO ENZIWA MANDELA

MANDELA
Katika kutambua mchango na nafasi ya mwanaharakati mkongwe na mpigania haki na uhuru Nelson Mandela, Huko Marekani, Times Square New York kutakuwa kukionyeshwa kwa picha pamoja na nukuu za shujaa huyu wa Afrika katika mabango ya kielektroniki.
Hii ni hatua moja kubwa ya kuenzi na kusherekea kuelekea kutimiza miaka 95 kwa Mandela mwezi July mwaka huu, na nukuu ambazo zitakuwa zikionyeshwa ni kazi ambayo imefanywa na Ndaba, Mjukuu wa mzee huyu ambaye kwa sasa ana umri wa miaka 30.
Mpango huu umefadhiliwa na Tribeca Film Institute ambayo ni taasisi ya sanaa iliyoanzishwa kwa ushirikiano na mwigizaji maarufu mwenye rekodi ya kushinda tuzo za Oscar, Robert De Niro.

OMMY DIMPOZ AONGOZA KINYANG'ANYIRO TUZO ZA KILI 2013

Katika majina ya wasanii waliotajwa leo hii kuwania tuzo za Kili 2013, Ommy Dimpoz ameonekana kuongoza kwa kuchaguliwa katika categories 6, akifatiwa na Ben Pol ambae amechaguliwa katika sehem 5 tofauti, Mwasiti 4 na Kala Jeremiah 4.
Mwaka huu pia mabadiliko yameonekana pale walipoamua kuongeza categories kutoka 24 zilizokuwepo mwaka jana, mpaka kufikia 37 mwaka huu .








Wednesday 24 April 2013

UFARANSA YAHALALISHA NDOA ZA MASHOGA BAADA YA MJADALA MKALI

Christiane Taubira, Waziri wa sheria wa Ufaransa 
Watunga sheria wa Ufaransa wamehalalisha ndoa za jinsia moja baada ya miezi ya mjadala mkali  na maandamano ya mitaani yaliyopelekea mamia kwa maelfu  kuja Paris.
kura 331 - 225 za siku ya juma nne zimeangukia kwa walio wengi ndani ya bunge ambao ni Socialist. waziri wa sheria wa Ufaransa Christiane Taubira,amesema ndoa ya kwanza kufungwa itaweza kuwa mapema mwezi june.
wanaopinga sheria hiyo wanasema, Ufaransa haiko tayari kuhalalisha ndoa za jinsia moja, na kura zinaonyesha kuwa wafaransa wamejitenga juuu ya swala hilo.
mamia ya askari walimwagwa nje ya viwanja vya bunge kabla ya kura hizo kupigwa, kwa maandalizi ya kama kungekuwa na maandamano kuzunguka jengo la bunge na kando kando ya mto Seine.
Ufaransa ni nchi ya 14 ya kuhalalisha ndoa za mashoga, na kura ya Jumanne imekuja wiki moja baada ya New Zealand - kwa utata kidogo sana - kuruhusiwa wanandoa wa jinsi moja kuoana.

Tuesday 23 April 2013

MSANII MAARUFU WA NCHINI NIGERIA ATANGAZA KUFANYA ZIARA HUMU NCHINI SIKU YA MALARIA DUNIANI

Omawumi
Msanii wa muziki nchini Nigeria ambaye anashikilia rekodi ya kushinda tuzo mbalimbali, Omawumi Megbele anatarajia kutembelea Kenya kwa ziara ya siku mbili kwa ajili ya shughuli ya kuongeza uelewa juu ya ugonjwa wa Malaria nchini humo.
Katika ziara hii, Omawumi ambaye anatamba sana kwa rekodi kali kama vile If You Ask Me atatembelea hospitali ya kenyatta katika wodi za wazazi kati ya sehemu nyingine ambazo huitaji kwa kiasi kikubwa ulinzi na tahadhari dhidi ya malaria.
Gonga continue reading kuendelea..

Ziara hii inakuwa ni maalum kwaajili ya maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani ambayo itakuwa ni Jumatano ijayo.

HIT MAKER D’BANJ AGAIN AMEACHIA KITU KIPYA

dbanj
Mkali wa kibao maarufu cha Oliver Twist D’Banj wa Nigeria ameamua kuwa mwaka huu ni wake kwa kutoa zawadi nyingine kali ya kibao kipya alichokibatiza jina ‘Why You Love Me’.
Kutoka kwenye label mpya ya DB Records ikiwa ni collaboration album waliyoipa jina “DKM”, D’ Kings Men, hivi sasa wametoa trak hiyo mpya ambayo D’Banj amefanya yake huku mpango mzima wa kichupa kikiwa njiani kutoklezea hivi karibuni.

PREZZO AACHIA KICHUPA CHA LIQHER

prezzo
Akifahamika kama The King of bling ambaye hataki masihara linapokuja suala la kuchana mistari Prezzo amerudi tena na bonge moja la swag kwa kutoa kichupa cha songi lake la’Liqher’ .
Prezzo ambaye awali alitoa wimbo mahususi wa kumuenzi aliyewahi kuwa mpenzi wake Goldie Harvey amesema kuwa hivi sasa ameachia kichupa hicho rasmi ambacho tayari kimeanza kuleta malumbano katika tasnia ya muziki nchini Kenya kutokana na wimbo huo kujawa na baadhi ya picha ambazo zimeleta gumzo ndani ya tasnia hiyo.

JAY Z BADO ANAIFAGILIA BROOKLYN NETS

JAY Z
Baada ya hatua yake ya kuuza shea zake zote na hivyo kuondoka katika umiliki wa timu ya mpira wa kikapu ya Brooklyn Nets, Rapa Jay Z amesema kuwa bado yeye ni shabiki mkubwa wa timu hiyo.
Kuthibitisha usemi huo Jay z hivi karibuni aliotokezea wakati timu hiyo ilipocheza mechi ya kirafiki na chicago bulls.
Jay Z katika mechi hii akiwa kama mashabiki wengine wa kawaida na si mmiliki tena, alionekana akitoa sapoti na morali ya kutosha tu kwa wachezaji na hivyo kurudisha moyo wa wengi kuwa baba lao bado yupo pamoja nao.
Jay Z amelazimika kujiondoa katika umiliki wa timu hii kutokana na kuanza uwakala wa kusimamia wanamichezo kupitia Roc Nation Sports.

BEN POL: SIWEZI KUSHINDANA NA LADY JAYDEE

ben_pol
Baada ya kuwepo tofauti kati ya komando lady Jaydee na Benard Paul aka Ben pol kitaa Ben Pizee, limeibuka jipya baada ya teaser ya wimbo mpya wa Ben Pol uitwao ‘Jikubali’ kutoka na star huyo kuskika akiimba kuwa anampenda lady Jaydee.
Mkali huyo aliamua kutoa ufafanuzi kupitia mahojiano yaliyofanyika kwa njia ya simu kupitia kituo kimoja cha radio hapa nchini akidai kuwa licha ya tofauti iliyojitokeza hivi karibuni hana tatizo sana na Komando.
“Sina tatizo na line niliyoimba kuwa nampenda Jide by the way wimbo wenyewe niliurekodi tangu mwanzoni mwa mwaka huu 2013 kabla hata ya kutokea hizo tofauti”. Said Ben Pol

AVRIL KUZINDUA SINGLE YAKE NA OMMY DIMPOZ TAREHE 30 APRIL

Siku ya mkesha wa kuamkia sikukuu ya wafanyakazi "mei mosi", Msanii kutoka Kenya Avril anatarajia kuzindua single yake aliyomshirikisha Ommy Dimpoz huku perfomace za wasanii kutoka Kenya na Bongo zikitawala 

Monday 22 April 2013

MR. & MRS CARTER COUPLE TAJIRI ZAIDI

Jay z & Beyonce
Kutokana na hesabu za kiundani pamoja na makadirio ambayo yamefanywa hivi karibuni, Kutokana na utajiri wa kiasi cha dola milioni 475 alio nao rapa Jay Z kwa sasa, Utajiri wa dola milioni 400 wa Beyonce, familia hii ya kistaa ndani ya mwaka huu inatarajiwa kujivunia utajiri wa kufikia dola bilioni moja na zaidi za kimarekani.
Hii ni kutokana na wachambuzi ambao kwa hesabu zao, Kutokana na dili ambazo Beyonce kwa sasa anazifanya ikiwepo ile ya H&M, ile ya kampuni mahiri ya vinywaji baridi pamoja na Ziara yake kubwa ya sasa – Mrs Carter Show zitamtengenezea zaidi ya dola milioni 165.
Gonga continue reading kuendelea..

Hii ikiunganishwa pamoja na biashara za Jay Z pamoja na miradi mbalimbali ambayo ameamua kuwekeza pesa zake kwa sasa, ni dhahiri kuwa, katika miezi kadhaa ijayo power couple hii itakuwa na mipesa ambao wingi wake hauelezeki.

HAWA NDIO MASTAA WALIO MWAGIWA SIFA KUWA TOP SEXY BOYZ NA TRACE TV

trace

UTAFITI UNAONYESHA KUSOMA SANA KUNAONGEZA KIMO CHA UREFU WA BINADAMU

hghtmeasure_19912_lg
Utafiti mpya unaonyesha kuwa kiwango cha elimu kina uhusiano mkubwa na kimo cha urefu wa binadamu. Wataalamu wa masuala ya Afya wamegundua kwamba ukiwa na elimu hafifu uko matatani kupungua urefu hasa katika kipindi cha uzee wako.
Sijui wangapi kitaa wametoroka shule enzi za skonga, huu msala huenda ukawa unakuhusu na mbaya kabisa ni kwamba hauna dawa ya kuzuiya.
Shule ni muhimu kuna manufaa kadha wa kadha hata ukizeeka mambo mengine yatakuwa mepesi kwasababu ya misingi bora utakayokuwa umeweka.

GOOD NEWS: MSHINDI WA LONDON MARATHON 2013 NI MKENYA

Prisca
Taarifa za uhakika kutoka nchini uingereza ni kwamba Priscah Jeptoo wa Kenya ameshinda mbio za wanawake na raia wa Ethiopia, Tsegaye Kebede, ametokea wa kwanza upande wa wanaume.
Marathon hiyo imefanywa siku sita baada ya mashambulio katika marathon ya mjini Boston, Marekani. Ulinzi ulikuwa mkubwa lakini hakuna ripoti za kutokea lolote.
Watu zaidi ya 30,000 wameshiriki kwenye mashindano hayo na malaki walishangilia kando ya barabara.

WATOTO WABOBEA ULEVI ULAYA

bia
Sasa tatizo la ulevi lawavamia watoto chini ya umri wa miaka 10 chini Uingereza huku wengine wakilazwa hospitalini.
Wataalam wanasema karibu watoto wapatao 380 wamefikishwa hispitalini na kulazwa kutokana na kuchanganyikiwa kulikosababishwa na ulevi.
Hizi ni takwimu za hivi karibu, fikiria kama uchunguzi ukifanyika Afrika Mashariki matokeo yake yatakuwaje.

PICHA 4 ZA PANYA KUTOKA AFRIKA WENYE UWEZO WA KUGUNDUA MABOMU YALIO FUNIKWA ARDHINI

panya 2
panya 3
panya 4
panya
Panya hao ambao ni wakubwa kuliko panya wa kawaida wanafanyiwa majaribio mkoani wa Morogoro. Jaribio hilo linafanywa na Shirika moja lisilo la kiserikali kutoka nchini Ubelgiji.
Inaaminika wanauwezo mkubwa wa kunusa kuliko mbwa. Hii inatokana na kuwa pua zao zipo karibu na ardhi,hali ambayo inawasaidia katika kazi yao ya utambuzi wa mabomu.

Thursday 18 April 2013

Shabigy, Avunja Kimya......



Mkali wa Sauti za kuongoa kutoka kilifi county, Swalehe Juma maarufu kama Shabiggy hatimaye avunja kimya chake.
Baada ya kuachilia traki baba wa kambo, Shabigy asema kuwa hivi punde mashabiki wake wasubiri kuiona video ya wimbo huo ambao kwa sasa umekuwa gumzo la jiji.
Hata hivyo haijakuwa rahisi kwake kwa mashabiki wa muziki humu nchini kumkubalibali kwa hila za kuumiza akili yake kwa muda mrefu huku maulana pia akihusika vilivyo.
Akilisema hilo alitaja kuwa kuchipuka kwa wanamuziki kila siku humu nchini limekuwa swala la kila mwenye pumzi ya uimbaji basi itamlazimun akaze buti na kumuomba mungu sana ama sivyo si muda mrefu hatawahi sikika tena.
Wakati uo huo alimtaja Producer J Crack Wa Crack Sounds Recs Kilifi Kama baba katika fani yake huku akisema kuwa hilo halitakuwa swala la kumbana asifanye kazi na watu wengine.
Aliwataja Maproducer, Amz Wa Sq, Emi D Wa Jungle Masters, Totti Wa Kg Studioz kama Miti Ya Production hapa Mkoani Huku Epher T Dili Dili kutoka kilifi kamtaja kama mmoja wa wale wakali wa eneo.

Alkeni Na Mapya Baada Ya Kuachilia Mwiba Mpya.......


Hapa jijini napo msanii wa nyimbo kali za mahaba Alkenia Luv, hii leo amejulisha jembe letu la fani kuwa anayo safari ya kuvuka nchini Tanzania kufanya traki mpya chini ya studio za Ip zilizoko pande za Kariakoo producer Akisali kuwa Pg.
Alkenia asema alikubali na kuzipenda kazi za producer huyo wakati alipokuwa humu nchini japo kwa muda mfupi akifanya kazi na studio za Houz Of Grace iliyoko pande za Mtopanga hapa msa.
Kumuhusu Pg hata hivyo, Kashawafanyia, kazi wasanii wakubwa wa bongo mmoja wao akiwa Barnaba Boy.
Alkenia anayevuma na mawe mazito ya hisia, Moyo, Kimbia Baby Why na sasa Mapenzi aliyo shirikishwa na Mkali wao wa michano J-kiny, asema kuwa kabla safari yake kutayarika, mashabiki wake watarajie video ya Wimbo baby why atakayoiachilia hapo kesho.
Wakati uo huo Alkenia anasema atakaporidi humu nchini, anatarajia kizindua rasmi video hizo akinitajia kuwa mkahawa wa Lambada umekuwa chaguo lake la uzinduzi huo.

CPWAA: NGOMA YANGU "REVENGE" NI YA KITAMBO KWENYE ALBUM YA "PWAA THE ALBUM" SIO MPYA IMETOKA BILA RUHUSA YANGU


Inaonekana mtindo wa kutoa ngoma za wasanii bila ruhusa zao umekua kama kawaida siku hizi, wasanii kadhaa wamesikika wakilalamika kazi zao kusikika redioni na kwnye mitandao mbalimbali bila rusa yao, leo hii msanii Ilunga Khalifa aka Cpwaa, ameonekana kushangazwa na ngoma yake "Revenge", kutoka katika album yake "Pwaa The Album" bila ruhusa yake, na kupitia ukurasa wake wa facebook  ameomba watu wasichukulie kama ndio ngoma yake mpya, bali ni imetoka bila ruhusa yaken na kuweka sawa kuwa kazi zake mpya zitaanza kusikika kuanzia mwezi wa 7.

CORRECTION: Sijatoa ngoma mpya toka nitoe "Double releases" mwaka jana, najua wengi wameona kwenye blogs mbalimbali kuna ngoma yangu mpya "REVENGE"...well lile pini ni la kitambo na lipo kwenye album yangu ya "Pwaa The Album" iliyotoka mwaka 2011, ngoma ni nyeusi sana sikuiitoa sijui imekuaje imetolewa juzi juzi bila mawasiliano na mimi! Its..ok ila siku ingine tuwasiliane!..Ngoma zangu mpya zitatoka kuanzia mwezi wa 7 mwaka huu..kwa sasa tuko jikoni. Asanteni na tuko pamoja! hakijaharibika kitu ( This is on my behalf of my Management) #Under-Rebranding

NDOTO YA LINEX YAKAMILIKA KWA WYREE

Msanii Linex leo hii amekamilisha ndoto yake ya siku nyingi kufanya kazi na msanii maarufu kutoka Humu Nchini Kenya "Wyre", ngoma hiyo ambayo kwa msaada wa digitali inaelekea kukamilika, imetengenezwa beat na producer Fundi Samweli ambae yupo Sweden kwa hivi sasa, ambayo ilitumwa kwa Linex na kuipeleka kwa producer Mswaki ambae pia ameongezea maujuzi yake, na hapo ndipo linex akaingiza sauti zake.
Hatimae leo beat na vocal za Linex zimetumwa Kenya kwa ajili ya Wyre kuingiza sauti leo usiku na kisha kuongezea maujuzi pia akiwa kama producer..kuonyesha furaha ya kukamilisha asilimia kubwa ya kazi hiyo Linex ameamua kushare na mashabiki zake kupitia ukurasa wake wa facebook kwa kuandika status hii
Linex Sunday
Siku ya leo imekua nzuri sana kwangu nimepiga kazi na mtu nnaemzimiaga kitambo linex ft wyre cumn soon but sita ahidi ni lini itatoka but saiz ndo kazi imeisha God is good

Wednesday 17 April 2013

Eliano Kuzindua Kanda Yake Ya Kwanza....


Uzinduzi….
Msanii wa Nyimbo za injili na za kizazi kipya, Elien Elisha Maarufu kama Mtaliano Eliano, Anatarajiwa Kuzindua kanda yake mpya mnamo jumapili wikendi hii.

Akizungumza na Jembe La Fani Eliano asema muziki wa injili umechukuwa mrengo mwingine huku akitaja kuwa ipo haja ya wana muziki wa injili hapa mkoani na Kenya nzima kushirikiana na kufaulu katika huduma hio.
Hata hivyo tamasha hilo linatarajiwa kuwajumuisha Wanamuziki kutoka Nairobi kama vile Masha Mapenzi, Kambua, The Great Mungaz,  Michael Yenna Na
wengineo.