flash3

Monday 22 April 2013

PICHA 4 ZA PANYA KUTOKA AFRIKA WENYE UWEZO WA KUGUNDUA MABOMU YALIO FUNIKWA ARDHINI

panya 2
panya 3
panya 4
panya
Panya hao ambao ni wakubwa kuliko panya wa kawaida wanafanyiwa majaribio mkoani wa Morogoro. Jaribio hilo linafanywa na Shirika moja lisilo la kiserikali kutoka nchini Ubelgiji.
Inaaminika wanauwezo mkubwa wa kunusa kuliko mbwa. Hii inatokana na kuwa pua zao zipo karibu na ardhi,hali ambayo inawasaidia katika kazi yao ya utambuzi wa mabomu.

No comments:

Post a Comment