flash3

Friday 30 November 2012

HEMED ASEMA LA MOYONI BAADA YA KUKERA NA MITANDANO MBALIMBALI

Msanii wa Bongo Fleva na Bongo Movie almaarufu kama PHD au Hemed,kama unakumbuka kipindi cha nyuma kulikuwa na tetesi za hapa na pale kwamba siku hizi ana tabia ya kuingia katika maduka ya nguo hasa ya Kinondoni na kuchukua nguo bila kulipa,sasa leo amekanusha na kusema habari hizo si za kweli ni story tu,kwani yeye anapoenda katika duka mara nyingi anahakikisha lazima atoe kiasi cha pesa ndipo aweze kuondoka na nguo hizo.Baada ya kusema hivyo alimalizia kwa kusema kwamba angependa kuona mtu anaandika habari nzuri kuliko kuandika habari ambayo sio sahihi@info kamili by Hemed

Thursday 29 November 2012

Hebu Cheki Msafara Wa Mwili Wa Marehemu Sharo Milionea-Baada ya Mwili wake kuwasiri Nyumbani kwao Tanga-Muheza

WAT A SHOW COMING UP VERY SOON.....

nyota ndogo

oliver

chaka chaka

suzanna
KULINGANA NA MEZA YETU YA SHSHSHSHS 1 2 3 MTAAANI NI KUNATAMASHA LA KUKATA NA SHOKA AMBALO LITAWAHUSISHA MA BINGWA WANNE KWENYE STEJI MOJA AKIWEMO OLIVA MTUKUDZI , I CHAKACHAKA, SUZANNA OWIYO NA NYOTA NDOGO TULIPO MTAFUTA NYOTA KWA MAELEZO ZAIDI ALIKUA NA HAYA YUA KUSEMA: mimi nitasema kwa radio show ya mashav mashav wakati ukifika.

Chris Brown's Kampala Show Pushed to Next Year..........

Chris Brown and Rihanna performing
Chris Brown(23) was to perform in Kampala on 23.Dec.2012 but the latest information from the organisers is that the show has been postponed to March 2013.
In a press briefing that was held at Sheraton Kampala Hotel this morning, the organisers noted that 'The Don't Wake Me Up' singer has been fully paid though his manager does not want him to fly on Christmas eve.
The next best period the American singer Christopher Maurice could avail for Uganda was in March 2013, so a new date will be communicated.
Chris Brown is still serving his five year probation for having beaten his ex-girlfriend Rihanna way back in 2009 something that has led angry protesters trying to spurn his concerts with the latest being the Guyana show that was to take place on December 26, 2012. Women activists made it clear that he was not welcome, so he became uncomfortable  and cancelled it.

KAMA WEWE NI SHABIKI WA ALLY KIBA BASI HII INATUHUSU........

Msanii wa bongo Fleva almaarufu kama Ally Kiba, siku ya leo anatimiza miaka kadhaa toka azaliwe kwa hiyo kama wewe pia unazaliwa siku kama ya leo, basi utakuwa unasherekea siku yako ya kuzaliwa na msanii huyo.Jumba Zima La Mfb-ent.blogspot.

Nickita Bachu and Natasha in War Over Gareth......

Nickita and Gareth. Inset is Natasha Sally who is Nickita's case
Club Rouge's Events Manager Nickita Bachu and Gareth Onyango have a baby together named Kylie who has made a month today but instead of celebrating this, Nickita is holed up in a war with glamour gal Natasha Sally who was trying to open her 'old files' with Gareth.
Nickita got wind of this and did not mince her words in reminding Sally of how Gareth dumped her because he preferred her (Nickita) body to hers. She further assured her that even after giving birth to Kylie, she was still having a hot body.
This did not go down well with Sally who dashed to her wall: ''Ok this b***h is obviously just obsessed with me! She just had a baby like three weeks ago and instead of taking care of her, she's busy reminding me of how her body shape is better than mine...Gareth and I are just friends and will remain so."
At this rate Tata Kylie has to come in before the gals tear each other into pieces. Nickita is in the meantime ensuring that all is well for Nigeria's Goldie who is in town to launch her new song 'Miliki' at Club Rouge on 30.November.2012 that she did with our very own Navio.

Wednesday 28 November 2012

Maswala Muhimu Ndani Ya Dimba Kati Ya Arsenal Na Everton......

  • KO 19:45
  • MATCH FACTS

    Head-to-head
  • Arsenal are unbeaten in their last 10 Premier League games against Everton (W8, D2) since a 1-0 defeat at Goodison Park in March 2007 when Andrew Johnson scored a stoppage-time winner.
  • This is the 183rd league meeting between the two clubs, all of them in the top division of English football. Arsenal have 90 victories compared to Everton's 54.
  • Arsenal's 6-1 win at Goodison Park in August 2009 was the Toffees' worst home league defeat since 1958.
  • The Gunners have recorded their highest number of Premier League wins (26) and goals (81) against Everton.
Everton
  • Everton have drawn five of their last seven league games (W1, D5, L1).
  • They have not lost at Goodison Park in 10 Premier League matches since a 1-0 defeat by Arsenal in March (W7, D3).
  • The Toffees have conceded 12 goals in their last eight games, failing to keep a clean sheet in that spell.
  • David Moyes's side have scored 15 first-half goals in the league this season, more than any other team. They have also been ahead at half-time on an unrivalled six occasions.
Arsenal
  • Arsenal have recorded their lowest points tally after 13 matches under Arsene Wenger. They last fared worse in 1994, when they had 19 points at the equivalent stage of the season.
  • Nonetheless, they have only been outscored once in the second half of matches this season. They sit second in the 'second-half table' with 26 points, two behind Manchester United.
  • The Gunners are the only team yet to concede in the final 15 minutes of a Premier League match this season.
  • Lukas Podolski is the only player in the Premier League to be substituted in all 13 of his side's matches this season.
  •  

Dimba Muhimu Uingereza, Arsenal Dhidi Ya Everton.




 “It feels a little bit like that yes. Certainly it is a big game for us.”

Arsène Wenger had just been asked if Wednesday’s trip to Everton was a "six-pointer”, the traditional label of a decisive game at the end of the season.
His response was about as firm as you will get on the subject with only a third of campaign gone.
The Goodison Park side go into this game fifth, one point and one place above Arsenal. Quite rightly, the Toffees have been applauded for an unusually strident start to the season.
But one win in seven suggests a certain plateau has been reached. Meanwhile Arsenal have suffered one defeat in eight. Yet the perception of both sides is not nearly as polarised as the numbers might suggest.
Everton are hanging on to the coat-tails of the top four, Wenger’s men have not yet done enough to prise their opponent’s fingers from the fabric, let alone look much higher.
That is why even the Arsenal manager senses a shift is possible with a win in the North-West.
“Usually Everton seem to have a bad start,” said Wenger. “And yes recently they have gone through a spell that is a bit less impressive.
 “But at the beginning of the season, they were winning game after game and I still believe they will be one of the contenders for fourth. However, at the same time, the season is long.
“Everton have already shown that they can beat teams like Man United at home but they drew against Norwich over the weekend as well. So it’s very difficult to predict but I do feel they will be one of the contenders.
“What David Moyes has done through the years is remarkable. Everton have worked extremely well and he deserves credit for that.
 “They have more options up front this season and I believe they always buy well. Nikica Jelavic has done well for them. Marouane Fellaini has moved forward. They’ve got quality players like Steven Pienaar and Leon Osman, plus Steven Naismith who is good at getting in the box to score goals. We need to repeat our good defensive performances recently and keep them quiet, especially Fellaini, their main player offensively. We’ll have to take care of that.”
Two successive clean sheets is a small but significant step for Arsenal given that needless concession was behind the majority of the September/October hiccups that followed a watertight start to the season. The return of Kieran Gibbs is a significant factor over the last 180 minutes, as the manager outlined in glowing terms.
“He was very good in the draw at Villa,” said Wenger.
“I have to be cautious with him because he’s just coming back from injury but if he can keep up his fitness, I think he can be one of the revelations of the season. I think he has more authority in his game and more confidence in his expression now. That is quite interesting for us.
“The recent clean sheets are pleasant for us too because that helps the team to think ‘OK we can attack more’ and with a bit less the idea that if we lose the ball, we will be in danger. It builds up the audacity of the team a little bit.
“As well as that, our overall unbeaten run is important in building up the confidence of the team. We have another big game now at Everton. Can we maintain that consistency? I believe we will come back.
“If you look at the results of the Premier League, I said that many times this season, it looks like consistency will be rewarded more than ever, and that goes for games like the one at Everton.”
 Theo Walcott has recovered from his shoulder injury and returns to the squad. The manager promised some rotation so, like at Villa on Saturday, do not be surprised by surprises. Certainly a lot of factors will come into Wenger’s thinking as the games come thick and fast.
 “It’s a mixture of objective signs as we now measure the fatigue level of the players, plus your experience, your individual knowledge of the players, the fixtures coming up and the chance of rotation,” he said.

“Sometimes you have no possibility because you might only have one player in one position. So all that together makes your decision.”

Both theses teams suffered disappointing draws at the weekend. Arsenal were, in the manager’s words, “lacking sharpness” at Villa Park while Everton were pegged back by a last-gasp goal at home to Norwich. That was without the talismanic Fellani but the Belgian is back from suspension on Wednesday. The hirsute midfielder is sometimes criticised for being over-physical but Wenger feels he stays on the right side of the law.
“Everton’s offensive game turns around him,” said the manager. “He is the target man they look for and these days he seems to be moving further forward.
“When he arrived he was more defensive. Now he is more and more forward and he looks like he will finish up front.
“He is not a dirty at all. For me he is an intelligent player and he uses his body well.”
Arsenal’s Goodison Park record is decent – four wins and a draw in their last five games. They have hit six and four in that time but the last two fixtures have been the scrappy odd-goal victory you might expect in the toughest of Premier League territories. And the type of winkled-out win that Wenger would snatch with both hands on Wednesday night.
On another day, they might have sneaked a similar success at Villa Park at the weekend. And the irony of the post-match reaction is their best period of the 90 minutes came in the dying stages when Gervinho had moved through the middle.
The manager pointed out afterwards that Saturday’s game was exactly the sort of scenario in which they have suffered disappointing defeats in days gone by. You only have to go back to Norwich on October 20 for a relevant example.
Victory at Everton would not put that right but it would put them clear in fifth place.
That would be Arsenal’s highest position for two and a half months and another indication of their stoic recovery.

CHECK OUT: Mazishi Ya Sharomilionea.....


                                                           Mama Mzazi wa Marehemu
                                                   
                                  Nape akizungumza na wananchi waliofika katika msiba huo.

                                          Mungu ailaze roho yake mahali pema peponi.


                                                           Wasanii wa Bongo Movie

Tuesday 27 November 2012

Juliana and Iryn pose in a similar way during photo shoots
Juliana and Iryn are both artistes who once worked together as a team, they are all mothers, have both won the PAM Awards Artiste of the Year...!

PICHA10 ZA GARI ALILOPATA NALO AJALI SHARO MILIONEA.......


.

.

.

.

.

.

.

.

Upande wa mbele wa gari.

Maelezo mengine na picha za eneo la ajali nitaviweka hapa baadae kidogo na pia vitasikika kupitia Amplifaya ya Clouds fm kuanzia saa moja usiku.

It’s a deal! Uhuru, Ruto declare .........

Sources close to the two said that the politicians had clinched a deal in which the Deputy Prime Minister will be the presidential candidate and Ruto his running mate.
NAIROBI, Kenya, Nov 27 – Deputy Prime Minister Uhuru Kenyatta and Eldoret North MP William Ruto on Tuesday struck a coalition deal, ahead of the December 4 deadline for the filing of pre-election pacts with the Registrar of Political Parties.
Sources close to the two said that the politicians had clinched a deal in which the Deputy Prime Minister will be the presidential candidate and Ruto his running mate.
Later, the communications director at Kenyatta’s office, Munyori Buku, sent a statement to newsrooms saying; “The two leaders have agreed on an alliance whose goals will be national unity, prosperity for all Kenyans, reconciliation and offers a definite and clear roadmap of making Kenya an economic powerhouse in the region, Africa and the world in the next decade.”
He did not divulge details of the pact which he said will be unveiled at a rally planned for Nakuru on Sunday.
“A team from the two parties is working on the programme and plans for the day. Two caravans – one starting at Kinungi near Naivasha and the other at Kuresoi – will start the journey to Nakuru. Many other like-minded party leaders, MPs, aspirants for various seats, councillors and religious, business, women, youth, cooperative union, farmers and civil society leaders have been invited and will be present,” Buku indicated.
A section of elders from counties in the North Rift region earlier dismissed an alliance between Ruto’s URP (United Republican Party) and Kenyatta’s TNA (The National Alliance), saying there has never been proper consultation of all stakeholders.
According to a poll released by Ipsos Synovate last Tuesday, Kenyatta would win the election in case of a runoff.
Most of the surveys have also showed that Kenyatta is the second most preferred candidate after Prime Minister Raila Odinga while Ruto has frequently occupied the third position.
However, Kenyatta and Ruto are faced with obstacles in their bid to occupy State House.

Uhuru and Ruto shake hands at a public rally in Narok on November
The leaders have a case pending in court challenging their eligibility to vie for political office over integrity queries, as stipulated in Chapter Six of the Constitution.
The bid to block them stems from cases the two are facing for crimes against humanity before the International Criminal Court.
The ICC has however said the two are free to run for political office and has listed their cases for hearing in April, after Kenya goes to the polls on March 4, 2013.

BREAKING NEWS: MSANII SHARO MILLIONEA AFARIKI DUNIA

Msanii wa Bongo movie na mwanamziki Sharo milionea amefariki dunia leo hii kwa ajali ya gari alipokua akielekea Muheza, Tanga., kwa habari zilizothibitishwa na msanii mwenzake wa movie Steve Nyerere, akiongea akiwa katika msiba wa msanii mwingine wa Bongo movie alifariki (John) kwa njia ya simu, akisikika kwa sauti ya masikitiko sana alisema
"ni kweli fetty sharo hatupo nae tena na nimeongea na kamanda wa polisi mkoa wa Tanga na kuthibitisha habari hizo"
 akiongea na Clouds Fm, kamanda wa polisi mkoa wa Tanga Bwana Constatine Massawe amesema " kifo cha Millionea kimetokea majira ya saa mbili, eneo linaloitwa Maguzoni songa , akiwa anaendesha gari aina ya toyota Harrier akitokea Dar  kuelekea Muheza, alipofika hapo gari liliacha barabara na kupinduka,na maiti imehifadhiwa katika chumba cha maiti ya  hospitali teule ya Muheza. alikuwa mwenyewe. Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi Amen
hii ni moja kati ya kazi alizowahi kuzifanya katika uhai wake 

Thursday 22 November 2012

P-Square, Baada ya Kuitikisa Kenya Na Track Ya Beautiful Oyinye Amabayo Baadaye walimshirikisha Mwiba Wa Mistari toka Majuu Rick Ross Sa Mapacha Hawa Wadondosha Pini Lingine, Hebu Litazame.........P Square - Alingo [Official Video]

MAMIA ya wakazi wa Kijiji cha  Lamadi, wilayani Busega mkoani Simiyu, juzi walifurika katika Kitongoji cha Mabulugu kumshuhudia mwanamke Ngulima Kilinga (30), aliyedaiwa kufufuka huku mwili wake ukiwa umehifadhiwa katika hospitali ya Mkula iliyopo mkoani humo.
Inadaiwa kuwa mwanamke huyo aliyefariki dunia tangu juzi, alionekana saa chache baadaye akiwa mzima wa afya na kuingia nyumbani kwake. Habari zaidi kutoka katika kitongoji hicho zinasema mwanamke huyo bado amefungiwa ndani ya nyumba yake akifanyiwa dawa za kienyeji ili arudie katika hali yake ya kawaida, kwani kwa sasa anaonekana kama zezeta.
“Bado huyu yumo ndani amefungiwa, lakini saa saba za usiku wa kuamkia leo (jana) alitaka kutoka, aling’ang’ana sana ili atoke, akapiga sana mlango...wakamfanya dawa ndipo akajaribu kutulia hadi sasa bado yumo ndani na usiku alipewa chakula akala na asubuhi amepewa uji” alisema mtu wa karibu wa mwanamke huyo.
Pia inadaiwa kuwa tayari mganga wa kienyeji amekwisha kuja kwa ajili ya kutengeneza mwanamke huyo ili aweze kurudia hali yake na kwamba amewashukuru wananzengo hao kwa kuweka maiti kwenye nyumba ya mtuhumiwa huyo, kwamba hiyo ndiyo njia sahihi.
Kamanda wa Polisi mkoani Simiyu, Salum Msangi alithibitisha tukio hilo, lakini akabainisha hayo ni mambo ya imani za kishirikina.
Kamanda Msangi alisema polisi walipelekwa katika eneo la tukio kuhakikisha usalama wa wananchi na hadi saa 9:00 jioni jana, maiti ya mwanamke huyo iliyokuwa hospitali ilikuwa haijazikwa.
Jana umati mkubwa wa watu ulifurika katika Hospitali ya Mkula kulikohifadhiwa mwili wa mwanamke huyo kuushuhudia.
Ndugu wa mwanamke huyo akiwamo mumewe Ngitu Masisanga na mama yake mzazi, Mwashi Myeya walisema Ngulima aliugua ghafla juzi baada ya kukwama na mfupa wa samaki wakati akila chakula nyumbani kwake.
“Baada ya kuugua alipelekwa hospitali ambako alifariki ghafla na kuwekwa kwenye nyumba ya kuhiofadhiwa maiti’’ alisema.
Alisema  cha ajabu ni kwamba wakati wamelala nyumbani kwa marehemu sambamba na waombolezaji wengine, saa 7 usiku marehemu alitokea akiwa uchi.
Walisema marehemu huyo alimwita mtoto wake ampatie nguop na kuchukua albamu ambapo aliangalia picha.
Mashuhuda wa tukio hilo walisema kuwa mbali na kutazama picha hizo na kutaka kupewa nguo zake, pia marehemu huyo alichukua tochi iliyokuwa ikiwaka na kuizima.
Mama mzazi wa marehemu alisema, “Kabla ya kukimbia nje tulimzuia yeye kutoka nje tulimfungia mlango na sisi ndio tukakimbilia nje, licha ya kufunga mlango alikuwa akiupiga kwa nguvu ufunguke ila na yeye aweze kutoka nje, kuna mtu amefanya dawa za kienyeji ndio tunasubiri majibu.”

VIDEO MPYA YA ICE PRINCE TOKA NIGERIA MSHINDI WA TUZO MBILI ZA CHANNEL ''O"...ICE PRINCE - MORE (OFFICIAL VIDEO)

SHILOLE AFANYA SHOOTING YA VIDEO YAKE MPYA

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Shilole anayetamba na ngoma kali hapa Tzee kama Dume dada,Lawama,Dudu na ngoma nyinginezo kali,sasa latest info kutoka kwa mwanadada huyu ni kwamba aliweza kufunguka juu ya picha hizi na kusema kwamba alikuwa akifanya video yake mpya inayokwenda kwa jina la Dudu akiwa amempa collabo Q-Chillah.Kwa hiyo kama wewe ni shabiki wa Shilole fahamu tu hizo picha alikuwa akitengeneza video yake mpya.