flash3

Friday 16 November 2012

DAZ BABA ANYOA ZILE RASTA ZAKE

 Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Daz Baba kama unamkumbuka msanii huyu kipindi cha nyuma alikuwa anatamba na ngoma kadhaa kama,Mrembo namba nane,Elimu dunia,Nipe tano na ngoma nyingine kali sasa mpaka kupelekea watu au mashabiki kukubali kazi zake sasa
Latest info ambayo tumeipata leo ni kwamba msanii huyu baada ya kukaa na rastaa zake kwa muda mrefu sasa ameamua kuzinyoaa na hapo chini ndiyo muonekana wake baada ya kuzinyoa rasta hizo dzain ameshinee.

No comments:

Post a Comment