flash3

Thursday 31 January 2013

WEMA:MAPENZI YAMEAMIA KWA CK BAADA YA DIAMOND KUMZIGUA

                         
 Zimepita siku chache tu baada ya Diamond ku post picha akiwa amelala na Penny mpaka kupelekea watu wengi kuzungumzia picha hiyo ambayo ilileta utata,sasa nyingine mpya hii hapa kutoka kwa Wema Sepetu akiwa na CK.
                                https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjp_ec3wNmn_HwLdmJ0naI_PnFdxhSRu1yrxtRRmTrcc9H232OrLppoUBBxr0xGpCgKAs1e0ZGfVY4_uknfeaOHPUj-6lACWe4OqhkDXNd4mj8J8ZavM_XJRykXvu-ZE0TZsoy4WJyCMBRi/s1600/wema+sepetu..jpg
  

SUMA LEE AFIWA NA BABA YAKE MZAZI

Msanii Suma Lee, anaeiwakilisha Tanga vizuri, leo hii, saa moja lililopita ameandika kupitia ukurusa wake wa facebook, kuhusu kifo cha baba yake mzazi anaeiitwa Sadiki Iddi. 
"BABA MZAZI WA ISMAIL AMEFARIKI MZEE SADIKI IDDI . INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAJIUUN. HABARI ZIWAFIKIE NDUGU JAMAA NA MARAFIKI."
  Suma hajaelezea chochote cha zaidi kama yuko wapi, kafariki kwa ugonjwa gani na mazishi yatakua wapi...Tumejaribu kumpigia sim hapatikani huku wengine wakidai yuko nje ya nchi..habariz aidi utazipata hapa, kadri tutakaviyozipata...Mungu ailaze roho ya marehem mahali pema peponi. AMEN
 

Monday 28 January 2013

TIMBERLAKE NA JAY Z WAINGIA MTAANI KUSHOOT "SUIT AND TIE

suit-and-tie-1
Ijumaa ya wiki iliyopita, katika mitaa ya LA, mida ya mchana, walionekana wakishoot video ya wimbo wao mpya Suit and Tie, huku wakionekana tayari kuimudu hali ya hewa ambapo kulikua na mvua za hapa na pale.(under umbrella). collable lao saa hii limepanda mpaka nafasi ya 4 katika billboard chart top 100, kutoka nafasi ya 84 wiki yake ya kwanza. album inayofata ya Timberlake 20/20 experience itakua ni album yake ya kwanza ndani ya miaka saba, ambapo mara ya mwisho aliachia mwaka 2006

BREAKING NEWS:LULU KUACHIWA KWA DHAMANA

  Baada ya wanasheria wa msanii huyo ambao ni Peter kibatala, Kennedy Fungamtama na Fulgence Massawe,  kutuma maombi ya dhamana ya kesi ya Lulu ili isomwe haraka kwasababu muombaji amekaa muda mrefu mahabusu, sasa habari zilizotoka hivi punde kutoka mahakama kuu zinasema lulu ametakiwa kukamilisha masharti aliyopewa, ikiwa ni kuacha hati yake ya kusafiria mahakamani, kuripoti mahakamani kila siku ya kwanza ya mwezi,  na wafadhili wawili kuweka bondi ya Shilingi mil 20 kila mmoja...masharti hayo yakikamilika leo hii ataachiwa huru kuwa uraiani.
Upande wa familia ya Lulu umesema masharti yote yaliyotajwa wanaweza kuyatimiza leo leo hivyo wanasubiri tu jibu la msajili ambae ndio anatakiwa kuhakikisha hayo masharti yametimia kisha ruhusa ya kumkabidhi Lulu kwa familia yake itolewe.
Taarifa za ndani ni kwamba uwezekano wa Lulu kuachiwa upo kuanzia january 29 2013 ambayo ni kesho kwa sababu kuna watumishi wawili wa serikali ambao wapo kikazi mkoani Pwani na ndio walitakiwa kutia saini dhamana ya Lulu wakiwa ni sehemu ya masharti.

Friday 25 January 2013

MASHABIKI WA DIAMOND WAJIULIZA MASWALI MENGI SANA JUU YA PICHA HII

Msanii wa Bongo Fleva maarufu Diamond Platinum siku ya leo kupitia katika mitandao mbalimbali kulikuwa na  maswali mengi sana juu ya picha ambayo ikimuonyesha Diamond Platinum akiwa amelala na Penny.

Hii ni moja kati ya page ya facebook ambayo watu wengi wakiulizana maswali juu ya picha hiyo.

Wednesday 23 January 2013

SHAKIRA NA PIQUE WAPATA MTOTO WA KIUME


Mwimbaji wa muziki wa Pop kutoka Colombian anayefahamika kwa jina la Shakira amejifungua mtoto wa kiume jana katika mji wa Barcelona.
Taarifa hizi tuliweza kuzifahamu baada Shakira na kuandika katika kupitia website na ujumbe aliyoandika ni huu hapa"We are happy to announce the birth of Milan Piqué Mebarak, son of Shakira Mebarak and Gerard Piqué, born January 22nd at 9:36pm, in Barcelona, Spain.

The name Milan (pronounced MEE-lahn), means dear, loving and gracious in Slavic; in Ancient Roman, eager and laborious; and in Sanskrit, unification.

Just like his father, baby Milan became a member of FC Barcelona at birth.

The hospital confirmed that the couple’s first child weighed approximately 6lbs. 6 ounces, and that both mother and child are in excellent health.

Friday 18 January 2013

Theo Walcott signs new long-term Arsenal contract

Theo Walcott has signed a new three-and-a-half-year contract with Arsenal, worth £100,000 a week.

The 23-year-old England forward rejected a five-year offer worth £75,000 a week in August and could have left on a free transfer at the end of the current season.
Talks stalled after Walcott turned down that proposal but progress was made in the last two weeks.
Arsenal's top scorer has also been rewarded with a £3m signing-on bonus.
He signed the deal at the club's London Colney training ground on Friday afternoon, ending months of speculation about his future.
Arsenal lawyers and the player's advisors spent all of Thursday in negotiations before agreeing on most issues by 19:00 GMT.
The club had tabled a five-year contract worth a reported £90,000 a week, while Walcott favoured the three-and-a-half-year deal on a salary above £100,000.

But a consensus was reached and the legal formalities - including an agreement on the complex area of image rights - were completed on Friday morning.
Walcott was upset with manager Arsene Wenger's decision to use him mainly as a substitute earlier in the season, but he has since regained a regular starting place.
It marks the end of another protracted contract saga involving the north London club, yet this time they are keeping their player.

Last summer Arsenal lost Robin van Persie to Manchester United as he entered the last year of his deal, and in 2011 they sold Samir Nasri to Manchester City when he was in the same situation.
Mathieu Flamini was in an identical position to Walcott in 2008, and he chose to see out his final six months before joining AC Milan.
Arsenal also saw Cesc Fabregas move to Barcelona following lengthy speculation about his future, although the Spaniard had longer left on his contract.
But Walcott has instead committed his future to the team who signed him from Southampton as a 16-year-old in 2006.
Arsenal rebuffed a bid for him from Manchester City towards the end of the last summer's transfer window, while Liverpool, Chelsea and Manchester United had also expressed an interest.
Arsenal have now agreed new deals with Walcott, Jack Wilshere, Aaron Ramsey, Kieran Gibbs, Alex Oxlade-Chamberlain and Carl Jenkinson as Wenger seeks to build his squad around a British core.

WATATOANA ROHO!......

Sifael Paul na Musa Mateja
IMEVUJA kuwa chanzo cha bifu, migongano, mtifuano na mpasuko baina ya baadhi ya mastaa wa kike Bongo ni kugombea mabwana, wivu, chuki na vita ya kufunikana na kila mmoja kujiona yupo juu kisanii, IJUMAA linafunguka.
Uchunguzi wa gazeti hili umebaini kuwa baadhi ya mastaa hao huingia kwenye migogoro baada ya kuingiliana kwenye anga zao, wanaume.
WOLPER NA UWOYA
Ilifichuka kuwa kiini cha bifu la mastaa wawili vinara wa mauzo ya filamu za Kibongo, Jacqueline Wolper na Irene Uwoya linalozidi kufukuta kwa kuongezeka kwa chuki na kukomaa mizizi kila kukicha ni mwanaume.
Ukiachilia mbali hivi karibuni ambapo Uwoya alidaiwa kula njama na ‘bodigadi’ wake aitwaye Mariam Ismail aliyemtwanga Wolper, huko nyuma wawili hao waliwahi kudaiwa kugombana kisa wivu wa kimapenzi wakimgombea bwana aliyekuwa mchumba wa Wolper aliyejulikana kwa jina moja la Ababuu.
Ilifahamika kuwa mbali na chuki na wivu wa kimapenzi, Uwoya na Wolper hawaivi kwa sababu kila mmoja amekuwa akidai yupo juu kimaisha zaidi ya mwenzake.
Habari za ndani zilieleza kuwa kila mmoja amekuwa akijitapa kumfunika mwenzake kisanii, jambo ambalo liliibua hisia tofauti kwa baadhi ya watu waliomnyooshea Uwoya kidole kuwa ni kweli ameshuka.
Wolper alipotakiwa kuzungumzia bifu lake na Uwoya alisema ameliacha suala lao kwa uongozi wa Bongo Movie huku Uwoya akiwa tuliii.

WEMA NA AUNT
Wema Isaac Sepetu na Aunt Ezekiel Grayson, nao wanatajwa kuwa kwenye bifu zito kisa kikielezwa kwamba ni kilekile, yaani kila mmoja kujiona yupo juu kuliko mwingine.
Hivi karibuni mambo yalikwenda kombo kati ya wawili hao ambapo Wema alimtuhumu Aunt kushindwa kuhudhuria pati aliyokuwa ameiandaa kwa ajili ya mastaa wenzake ya kuukaribisha mwaka 2013 bila sababu ya msingi, akisahau kuwa yeye (Wema) alikuwa naye bega kwa bega wakati wa maandalizi hadi ndoa yake aliyofunga na Sunday Demonte.
Hata hivyo, Aunt alijaribu kuomba msamaha lakini Wema alikuwa mgumu kumsamehe kwa kusema hana hamu naye.

UWOYA NA FLORA MVUNGI
Pia uchunguzi wetu ulibaini kuwa Uwoya na Flora Mvungi hawaivi hata tone kufuatia lile sakata la matusi ya nguoni kisa kikiwa penzi la Hamis Ramadhan Baba ‘H. Baba’.
Ilielezwa kuwa kisa cha yote ni wivu wa kimapenzi kwa H. Baba ambao uliwajengea chuki na hadi leo hawajawahi kukutana uso kwa uso ikiaminika siku wakikutana, patachimbika au kutoana roho.

FLORA NA SHILOLE
Uchunguzi huo ulibaini kuwa Flora mwenye lugha kali kwa wenzake, hivi karibuni alinogesha bifu na Zuwena Mohamed ‘Shilole’ baada ya kumwambia kuwa ananuka wanaume.
Kwa mujibu wa mtu wa karibu wa Shilole, mwigizaji huyo ambaye pia ni mwanamuziki ameweka mtego wa kumnasa Flora ili amshikishe adabu

ASAMOAH GYAN: SITOPIGA PENATI TENA - MAMA ALINIKATAZA

Gyan discovered you're not allowed to throw the ball between your legs (Getty) 
Michuano ya 29 ya AFCON  ikiwa imebakiza siku chache kabla ya kuanza, huku timu ya taifa ya Ghana ikiwa ni moja ya timu zinazopewa nafasi kubwa ya kunyakua ubingwa wa michuano hiyo kwa pamoja na timu za Zambia, Ivory Coast na Nigeria.

Ghana itakuwa ikiongozwa na nahodha Asamoah Gyan, lakini kwa hakika itakuwa ngumu kumuona mshambuliaji wa zamani wa Sunderland na Udinese akienda kupiga mpira wa penati ikiwa Black Stars watapata penati.

Sio kwa sababu nyingine yoyote bali binafsi - hayati mama yake mzazi alimwambia asipige. 

 KutokaBBC:
"Nimeamua kutokupiga penati kwenye mechi za timu ya taifa," Gyan alisema.
"[...] Nilisema miezi michache iliyopita kwamba sitopiga penati, kabla mama yangu hajafariki mwezi November 2011 aliniambia nisipige penati tena."
Kwanini hayati mama yake alimwambia maneno hayo ambayo yamelionyesha hakuwa anamuamini mwanae?? Gyan anajibu kwamba penati aliyokosa katika robo fainali ya kombe la dunia 2010 dhidi ya Uruguay, ambayo ingeifanya Black Stars kutinga nusu fainali ya WOZA 2010.

Pia katika michuano ya AFCON 2012, Gyan alikosa penati katika mechi ya nusu fainali dhidi ya Zambia ambayo iliingia fainali na kuifunga Ivory Coast kisha kubeba ubingwa.

Ingawa mshambuliaji huyo mwenye miaka 27 anaweza akalazimika kupiga penati ikiwa timu yake itakwenda katika hatua ya kupigiana penati ili kuamua mshindi.

PREGNAT AND PROUD: SHAKIRA AONYESHA MIMBA YAKE AKIWA NA BIKINI TOP

Ready and waiting: Shakira and Gerard Piqué have posed for a series of intimate shots, showing off her baby bump  

Shakira na mpenzi wake mcheza mpira  Gerard Piqué  wameachia picha kadhaa zinazoonyesha uka uzito wake wakisherehekea ujio wa mtoto wao wakwanza
 akiwa amevaa bikini top na sketi, huku boyfriend akiwa hana shati, picha inaonyesha ukaribu wao wakiwa wanasuburi ujio wa mtoto wao wakwanza wakiume

 Picha hizi ambazo zilipigwa na Jaume Laiguana, zilitupiwa kwenye mtandao mara baada ya wawili hao kuamua kuungana na UNICEF ku host a virtual baby shower.
Not long now: The Colombian singer shows off her amazing pregnant shape in the snaps wearing just a pair of loose-fitting trousers and a bikini top  

Shakira, 35, amefata nyayo za ma staa kama  Demi Moore and Britney Spears,  ambao walishawahi kupiga picha za namna hii wakati wa muda wa mwisho mwisho wa mimba zao.
Pregnant and proud: Shakira and her footballer beau Gerad Pique have posed for this beautiful picture which shows the singer in all her pregnant glory 

Shakira na mchezaji huyu wa FC Barcelona walikutana mwaka 2010, pale alipotokea kwenye music video ya Shakira, (waka waka, this time for Africa) ambao ulikua ndio wimbo wa kombe la dunia.
Beautiful: In the second image, taken as part of the 35-year-old's virtual baby shower alongside UNICEF, Sharkira stands in a flowing almond gown

Tuesday 15 January 2013

MAMILIONI YA WAUMINI WA DINI YA HINDU WAJISAFISHA DHAMBI ZAO

Hindu
Mamilioni ya waumini wa dini ya hindu wakiingia kwenye mto wanaouita mtakatifu wa Ganges wenye maji ya baridi, kwa kile wanachoamini kunawasafisha madhambi yao
Whip my hair: The holy men presented an arresting sight at the first day of the festival
tayari watu zaidi ya milioni tatu washaingia katika mto huo kwa jana asubuhi na huku wakitegemea kufika watu million 11 kuingia kwenye mto huo kufikia jana jioni,  kwa ushahidi wa afisa mkuu wa maadhimisho hayo, Mani Prasad Mishra
Procession: A child adorned with marigolds is carried by sadhus on the way to the Sangam
Dawn: A devotee is up at the break of day to pay his respects to the gods in Allahabad
ALLAHABAD
Hindus
Long journey: A foreign devotee joins other pilgrims in prayer at a festival which will go on for over a month
Siku ya jana inachukuliwa kuwa ni siku yenye kheri sana kutokana na kuwa ni siku ya maadhimisho ya siki 55 yajulikanayo kama Kumbh Mela
Contemplation: An Sadhu closes his eyes as he prays while bathing in the confluence of the Yamuna and Ganges rivers
Taking the waters: Thousands of holy men return to camp after taking a dip in the river
Hindu devotees
Hindu holy me
India
Gathering: Millions of pilgrims gather in the early morning light to show their devotion on the first day of the Maha Kumbh Mela
Sights and sounds: A Sadhu blows a conch shell as other Sadhus or Hindu holy men bathe
Crowd: More than 110million people are expected to make their way to the city for the 55-day festival
Mystical: The festival commemorates a famous incident from Hindu mythology
Waumini hao wanaamini kuwa kuoga kwenye mto huo ni kujisafisha madhambi na ku
Kumbh Mela
Polisi wakipiga doria
Mamilioni ya waumini wa dini ya hindu wakiingia kwenye mto wanaouita ni mtakatifu wa Ganges illions of Hindus followed naked holy men into the cold waters of the Ganges today as part of the world's largest gathering of people.
The ceremony in the Indian city of Allahabad came on the most auspicious day of the Maha Kumbh Mela, a 55-day religious festival which is expected to attract well over 100million bathing pilgrims.
A top festival official said nearly 3million people had bathed by late morning and 11million were expected to enter the frigid water by the end of Monday.

Saturday 12 January 2013

Hivi Ndivyo Ilivyo Kuwa Katika Tafrija Select 2013 Party

Utamu Wa siku.......
Msanii Boi.....Kutoka Mld
 Msanii J-Star.
Susumila Akifuatilia Kwa Makini Yanayoendelea.
Msanii Kanja Boy Kumbe Mtulivu.
Msanii Antonio Wa Kundi La Bibblelizers.
Mkurugenzi Wa Dream Achievers Safe Jira
Dazla Na Fatty S
Hawa Nao Walifika Tamashani
Mwalimu Wa Chuo Kikuu Cha Mashav Mashav University Akiwa Katika Lesson Yake Exclussive.
Boss Wa Pwani Fm(Left) Mwenye Blak Zeithun Omar, Mwenye Jijjab, Palomma, Na wamwisho Mama Kalai.
Boss Wa Pwani Fm Akikata Keki Pamoja Na Paloma.


Kalicha Na Chikuzee...
Walihidhuria Pia........
Mtangazaji Mafimbo Akiwa Amechafuliwa Keki akiwa Na Promota Matole.

Wanafunzi Tamashani
Dream Achievers
Mafimbo, Suma, Lai Na Wanafunzi

Mike Bwax  Na Jackson