flash3

Wednesday 23 January 2013

SHAKIRA NA PIQUE WAPATA MTOTO WA KIUME


Mwimbaji wa muziki wa Pop kutoka Colombian anayefahamika kwa jina la Shakira amejifungua mtoto wa kiume jana katika mji wa Barcelona.
Taarifa hizi tuliweza kuzifahamu baada Shakira na kuandika katika kupitia website na ujumbe aliyoandika ni huu hapa"We are happy to announce the birth of Milan Piqué Mebarak, son of Shakira Mebarak and Gerard Piqué, born January 22nd at 9:36pm, in Barcelona, Spain.

The name Milan (pronounced MEE-lahn), means dear, loving and gracious in Slavic; in Ancient Roman, eager and laborious; and in Sanskrit, unification.

Just like his father, baby Milan became a member of FC Barcelona at birth.

The hospital confirmed that the couple’s first child weighed approximately 6lbs. 6 ounces, and that both mother and child are in excellent health.

No comments:

Post a Comment