flash3

Saturday 30 March 2013

Arsenali Yazidi Kusukuma Kupenya Katika Nafasi Ya NNE Kwenye Li Kuu Nchini Uingereza.

Arsenal maintained their push for a top-four finish with a comfortable victory that sent Reading bottom of the Premier League on goal difference.
Gervinho opened the scoring with a close-range finish from Santi Cazorla's cross-come-shot as Arsenal dominated.
Cazorla curled in after half-time before Olivier Giroud drilled a third.
Reading reduced the deficit through Hal Robson-Kanu's header, but Mikel Arteta secured the points with a penalty after a foul on Alex Oxlade-Chamberlain.
Arsenal had many more chances to increase their advantage, but the result was never in doubt.
They stay fifth in the table but are now just two points behind fourth-placed Chelsea, who were beaten at Southampton, and four behind third-placed Tottenham, over whom the resurgent Gunners have a game in hand.
Arsene Wenger's side have won five of their last six Premier League games and their confidence was apparent against a Reading side who would have done little to impress their new manager Nigel Adkins.
The Royals host Adkins' former club Southampton next Saturday, with their chances of avoiding relegation looking increasingly slim given they are seven points from safety with seven games remaining.
Reading have conceded 61 goals this season, more than any other top-flight team, and are owners of the division's worst away record with just one win, two draws and 13 defeats.
They have now lost three times to Arsenal in all competitions this season, conceding 16 goals along the way - and on this occasion the goals against tally could have been more significantly added to.
Gervinho was their tormentor-in-chief with a goal and two assists, although he might have scored at least a hat-trick with better finishing.

NO MORE KIDUKU KWA BOB JR.................

ikiwa imepita wiki moja tu tangu picha za muonekana mpya wa Bob jr kusambaa, akiwa amepaka rangi nywele hasa hasa kwenye kiduku, leo hii pia amanitumia picha za muonekana wake mpya kwa mara nyingine tena akiwa amekata nywele zote. sijui inawezekana akawa anaanza kupitia process ya kukua au ndugu wamemshauri hivyo maana bado anaendelea kupiga show zake  nchi ambayo baba yake na wadogo zake wanaishi. leo hii Jr yupo Denmark, kesho atakuwa Norways kwenye show ambayo alitakiwa kupiga Ommy Dimpoz na baada ya hapo ataelekea Swizerland siku ya jumapili na kukamilisha show zake zote. 



Mafimbo Anawatakia Pasaka Njema Wote Mashabiki Wa Mfb Blogspot....


Kenya election- Raila Odinga 'respects court ruling'

Raila Odinga 'to continue struggle peacefully'

Defeated Kenyan presidential candidate Raila Odinga has said he will seek peaceful ways to end a row over poll results, which gave a narrow first round victory to rival Uhuru Kenyatta.
He was speaking after Kenya's Supreme Court upheld Mr Kenyatta's victory, rejecting Mr Odinga's challenges.
He said he accepted the court verdict because he wanted to avoid bloodshed.
But two people died and 11 were hurt as Odinga supporters clashed with police in his western stronghold of Kisumu.
There was an angry mood in the Nairobi slums of Kibera, says the BBC's Gabriel Gatehouse in the city, and police briefly used tear gas to chase away protesters outside the courthouse.
Tensions were reported in another slum, Mathare.
Violence after a disputed election in 2007 left more than 1,200 people dead.
The presidential, legislative and municipal elections held on 4 March were the first since the 2007 poll.
Official results said Mr Kenyatta beat Mr Odinga - who is currently prime minister - by 50.07% to 43.28%, avoiding a run-off by just 8,100 votes.
Mr Kenyatta and his running mate, William Ruto, are expected to be sworn in as president and vice-president on 9 April.
But they are facing trial on charges of crimes against humanity at the International Criminal Court (ICC) for allegedly fuelling unrest after that election. They deny the charges.

Wounds opened'
In an interview, Mr Odinga said he wanted to avoid the kind of bloodshed that had occurred five years ago.
"I am going to tell my people to look at peaceful ways of resolving this issue," he said. "The Supreme Court is just one step, there are many other avenues.
"Wounds have not been healed, in fact they've been opened up by what's happened."
He hinted that if nothing was done there could be a return to violence.

"I fear that five years from now, there will be voter apathy. This will lead people to explore other means to resolve this issue," he said.
Some of Mr Odinga's supporters were less diplomatic.
"We cannot trust the court, democracy is dead in Kenya," one man protesting outside the courthouse told the BBC.
Earlier the court, in a unanimous decision, declared the elections free and fair and said Mr Kenyatta had been "validly elected".
Supporters of Mr Kenyatta took to the streets of central Nairobi after the verdict, tooting their horns, blowing on vuvuzelas and chanting.
The president-elect made a televised victory speech hours after the announcement, vowing to work with and serve all Kenyans "without any discrimination whatsoever".
Mr Odinga responded to the verdict with a speech expressing "dismay" at the conduct of the election but saying he fully respected the court's decision.
Petitions had been filed to the court by the prime minister and by civil society groups, who claimed irregularities had affected the election result and called for fresh elections. However, much of their evidence was dismissed by the court.
The Independent Electoral and Boundaries Commission (IEBC) has insisted that the vote was credible, despite technical failures with an electronic voter ID system and the vote counting mechanism.
International observers said the poll was largely free, fair and credible, and that the electoral commission had conducted its business in an open and transparent manner.
 Uhuru Kenyatta.......
  • Born October 1961, son of founding President Mzee Jomo Kenyatta
  • Heir to one of the largest fortunes in Kenya, according to Forbes magazine
  • Groomed by former President Daniel arap Moi to be his successor, but heavily lost 2002 election to Mwai Kibaki
  • Second African president to be indicted by ICC, after Sudan's Omar al-Bashir

Friday 29 March 2013

Jicho La Mfb Limekutana Na Luv Mumz Leo Hii........

Luv Muz Katika Poz....
Tumemuona  Luv Muz, Mwanzo Tukafahamu Kuwa Wazazi Wake Walifurahia Kumuita Mariam Farida Abdallah walipomzaa.
Mtoto Huyu Wa Kike Tumeongea Naye Mengi Hebu Fuatilia haya Mazungumzo Yetu Kupitia Sura Ya Kitabu.....
Yeye Alinikuta Na Ndipo Akanisabahi............... 
Na baada ya Salamu, Mumz Akaanza Kunishukuru Kwa Kupatia shavu Mziki Wake Kupitia kipindi Tafrija Select Cha Radio Pwani Ninachokiendesha...... Hapo Mimi Sikujibu.
Nikagundua Kuwa Ni Kizalia Cha Hapa Kisiwani Mombasa Pande Za King'orani Huyu Luv Mumz Alizaliwa 1989, Akalelewa Na taabu Kisha Baada Ya Kuvunja Ungo Mwanamuziki Skecher Wa Kikundi Cha Rude Boys Mjini Mombasa Akamposa Na Kisha Kumuoa Na Baada Ya Pandashuka Za Maisha Msanii Skecher Hakuliona Faida kuoa Msanii.........Hapa Mumz Hakutaka Kunielezea Sababu Nyingi Kwani Skecher Alimmwaga.
 Luv Mumz Akiwa Katika Poz...
Mumz Kwa Sasa Ana Watoto Wa Wili Wa Kike, Aisha Na  Rahima Wote Wako Chini Ya Ulezi Wa Mumz Kupitia Muziki, Du! Nikashangaa Kisha Nikameza Mate, Nikataka Kujua Kama Ana Kazi Nyingine Kando Na Muziki Mtoto Wa Kike Akanieelezea Kuwa Kwa Sasa Kila Kitu Ni Muziki.......Mumz Anapitia Mazito Ya Maisha Lakini Muziki Humfariji Na Pia Humlisha(Miss Indipendent huyu).
Kuhusu Muziki Wake Wa Hivi Karibuni 'Mapenzi Khalas' Aliutengeneza Kwa Producer Tee-T-Hits, Mumz Ananielezea Kwamba Hauzungumzii Mapenzi Yake Ya Zamani Lakini Hata Yeye Mwenyewe Anashangaa....mmmmm Mariam, Mariam Mariamu Nikamuita Mara Tatu Kwani Alikuwa Kimya, Nikagundua Kitu Lakini Nakibana......Mtoto Wa Kike Luv Mum Ana Mziki Wa Mashairi Mazito Na Sauti Yake Ya Mnato Aki Una Sababu Ya Kumsikiliza Na Kumpa Sapoti
Any Way Mengine Ni Kuwa Mumz Hupenda Kula Nini?......'Mimi Napenda Wali samaki fresh hivi mchuzi wachukuchuku na kama maini makavu yalokauka damu poa,juice ya ovacado hivi kishkishio' alinijibu hehehee Tukiyaacha Hayo Mumz Wapenda Mwanamume Wa Aina Gani? 'Du!' Kamaka.....'Hapo tutasameheana
Ni gumu hilo' akanijibu Sikutaka Kuendelea XANA
 MFB ENT YAMTAKIA KILALA HERI......

Arteta - Teams now tactically stronger

Mikel Arteta
Mikel Arteta

Some footballers play, go home and don't think about the game. Not Mikel Arteta.
The Spaniard is not merely Arsenal's midfield metronome, he's a student of the sport. Arteta follows the tactical evolution of football closely and stays abreast of his own team's stats and trends.
Arsenal's last game, a 2-0 victory at Swansea City in the Premier League, threw up some interesting numbers.

MAVADO NA CECILE KU-PERFOM KENYA

mavado
Nyota wa miondoko ya dancehall nchini Jamaica David Constantine Brooks aka Mavado anatarajia kutumbuiza katika tamasha la amani liliobatizwa jina ‘Make A Change campaign’ litakalofanyika Septemba mwaka huu nchini Kenya.
Aidha imeelezwa kuwa wandaaji wa tamasha hilo kubwa wanafanya mipango ya kumleta msanii mwingine wa miondoko ya dancehall Princess Cecile ambaye pia ni mchumba wa mwanamuziki Chris Martin.
Hili litakuwa ni tamasha la pili kwa Cecile kutumbuiza nchini Kenya ambapo awali mwaka 2011 aliwahi tumbuiza na laazizi wake huyo na pia kufanya kolabo na Wyre aka The Love Child katika remix ya track yake ‘She Say That’.
Share Button

LOVE N’ POWER KUTOKA APRIL 7/2013

Love-Power
Baada Ya Mtandao Huu Kuangazia Kuwa Sanamu Ya Kanumba Kutarajiwa kutundikwa Huko Bagamoyo Nchini Humo Sasa Kingine Kumuhusu Marehe Kanumba Ni Kuwa Filamu ya mwisho ya marehemu inayoitwa “Love and Power” inatarajiwa kuingia sokoni mwanzoni mwa mwezi Aprili mwaka huu.
Taarifa hizo zimetolewa hivi karibuni na Seth ambae ni mdogo wa marehemu Steven Kanumba wakati alipokuwa akihojiwa Na chumba kimoja cha Habari Nchini Tanzania.
Seth ambae kwa sasa ameanza kuendeleza kampuni ya The Great Steven K’ ameeleza kuwa filamu hiyo imechukua muda mrefu kumalizika kutokana na wahusika wakuu Kanumba na Sharomilionea kufariki dunia.
Aidha ameongeza kuwa kulikuwa na changamoto nyingi hasa katika ku edit filamu hiyo kutokana na kwamba baadhi ya scene zinazo muonyesha marehemu Steven Kanumba zimekua zikishabihiana na uhalisia wa jinsi kifo chake kilivyotokea.
Filamu hiyo ambayo ilianza kutengezwa tangu mwezi march mwaka jana ndio movie ya mwisho ya muigizaji Steven kanumba kabla ya kifo chake.

TONTO DIKEH AJITOSA KWENYE MUZIKI

tonto-dikeh
Wa Naigeria Baada Ya Kumpoteza Mwiba Wa Muziki Hivi Majuzi Goldie Sasa, Muigizaji wa filamu za Nollywood nchini Humo sasa aamua rasmi kuzama katika muziki.
Tonto Dikeh amezindua kwa mara ya kwanza kichupa chake kipya alichokibatiza jina “HI”.
Shosti huyo mwenye mvuto na mkali katika kumiliki steji amezindua kichupa hicho chenye miondoko ya dance ambacho kimefanyiwa kazi na video director maarufu nchini humo aitwae Gbemi Phillips kutoka kampuni ya Gbemi Phillips Productions.
Mwaka huu mkali huyo amejipanga kuwapagawisha zaidi mashabiki wake kupitia vibao vikali kama jinsi ilivyokuwa mwaka 2012 ambapo alijipatia mashabiki wengi kutokana na style yake ya kucheza.

MISSY ELIOT IS BACK......

missy-elliott
Mwanashosti mwenye vituko aliyekamata industry ya muziki nchini Marekani na hatimae kutoweka kusikojulikana rapa Missy Eliot amerudi tena kwa kishindo kwa kutoa wimbo mpya “How You Doin” akishirikiana na kikundi cha wanadada wa nchini Uingereza Little Mix.
Wanashosti hao ambao walipata kujulikana katika shindano maarufu la utafutaji vipaji la X Factor ambao walitoklezea na hit single yao iitwayo ‘Like Wings’ , wamepewa shavu na missy eliot katika audio ya wimbo wao mpya “How You Doin”.
Missy Eliot ambaye ni mshindi wa tuzo maarufu za muziki na pia mtayarishaji maarufu aliyewahi fanyakazi na nyota mbalimbali anatarajia kuibuka katika kichupa cha wimbo huo akiwa na wanashosti hao wa Little Mix

PREZZO KUMUENZI GOLDIE KWA KUMUIMBIA

prezzo
Zikiwa zimepita siku nyingi za ukimya kwa takriban mwezi mmoja tangu kufariki kwa msanii maarufu wa kibao cha ‘Skibobo’ Goldie Harvey wa nchini Nigeria, msanii Prezzo anatarajia kufanya ngoma mpya itakayokuwa maalum kwa ajili ya kumuenzi mpenzi wake.
Prezzo alikumbwa na fedheha baada ya kukataliwa na familia ya marehemu Goldie kuhudhuria maziko ya mpenzi wake huyo Jijini Lagos nchini Nigeria baada ya kugundulika kuwa Goldie alikuwa ni mke wa mtu na familia haikutaka kuibuka kwa mvutano wakati wa kumzika mpendwa wao.
Rapa huyo amesema kuwa ngoma hiyo mpya inayotarajiwa kutoka muda si mrefu ya kumuenzi mpenzi wake ameibatiza jina “MY NAIJA GIRL”.

LORD EYEZ KUHAIRISHA BABA LA BABA

baba
Kufuatia siku ya leo kwenye kalenda kuwa ijumaa kuu Rapper kutoka kampuni ya weusi Isac Maputo ‘Lord Eyez’ ametangaza kuhairisha mpango wake wa kudrop ngoma yake mpya inayoitwa ‘mapito’ feat Damian pamoja na video ya Baba la baba hadi siku ya jumatano.
Rapper huyo ambae hivi karibuni alikumbwa na misukosuko ya kesi za wizi wa vifaa vya gari la msanii mwenzake Ommy Dimpoz amesema kuwa mkakati wake ulikuwa ni kuachia kazi mbili kwa mpigo siku ya leo lakini kutokana na kwamba imeangukia siku ya sikukuu ameahairisha hadi siku ya jumatano.

Mkali huyo aliewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Ray C amesema kuwa kuhusu line za verse zinazo muombea Ray C na Mama yake kwenye wimbo wa mapito, fans wake watarajie kumuona mwanashost huyo akitokelezea kwenye kichupa cha wimbo huo kushow support na love ya kutosha.

Thursday 28 March 2013

Jay-Star Kusababisha Sea-Front Usiku Wa Kessho......

Mwiba Wa Muziki Mzito Pwani Edwin Juma David, Maarufu Kama Jay Star, Hakuna Linalo Mtatiza Katika Mziki  Wa Rnb Yeye Kaupenda Xana Na Kisha Kakubalika Na Wapwani.........

Susu Aangazia Mataifa Ya Ughaibuni.

Susumila Ni Jina Ambalao Hapa Pwani Na Kenya Nzima Kwa Ujumla, Hakuna Isiye Lijuwa Ikizingatiwa kuwa ni jina tajwa na limekuwa vinywani mwa wengi.
Hata hivyo ni jina linalomilikiwa na msanii wa kizazi kipya Yusuf Kombo kizalia cha pwani kaskazini.
Mfb ilipokuwa ikimfuatilia leo hii imegundua kuwa mwezi huu wa tatu tarehe 13 aliajaliwa kupata mtoto wa kiume wa pili na kwa hilo roho yake imefurahi.
Akizungumza na sisi kupitia njia ya simu susu alikuwa pande za Chumani ambako anamiliki nyumba pamoja na biashara zingine zake.
Baada Ya kuingia ndani sana katika gumzo letu, kuhusu familia yake, machache tuliyoyapata nikuwa mkewe pia nishabiki wake sugu na hasa yeye hupenda traki "Nikupe Nini".
Susu alituelezea zaidi kuhusu muziki wake na akasema hivi karibuni anatarajia kuachilia traki mpya kazi ikisalia ya producer J Krak Ndani Ya Studio Za Krak Sounds.
Akigusia Swala la mauzo ya muziki wake, susu asema kuwa yuko mbioni kuuza muziki wake katika mataifa ya kughaibuni ikizingatiwa kuwa tayari ashachukuwa kandarasi na kampuni moja ya mauzo Ya muziki kimataifa, kampuni ambayo huuza miziki kupitia mitandao.
Kando na Hayo, Susu Hujihusisha na maswala ya kijamii hasa yeye hupendelea kuwatembelea Watoto ambao Hawajabahatika(opharnage Homes) Pamoja na Wagonjwa huku akisema kuwa lazima jamiiifaidike na mfuko wako.
Susumila atasalia kuwa msanii mkongwe hapa pwani amabaye jina lake bado nitamu ndani ya vinywa vya wengi...kilala heri kwa kazi zake.........

HOUSEKEEPERS BRAZIL KULIPWA OVERTIME

house keepers
Baraza la Senate nchini Brazil, limepitisha bila pingamizi mswaada wa kihistoria unaowapa haki sawa wafanyakazi wa majumbani na wale na maofisini kote nchini.
Sheria hiyo mpya inafafanua idadi ya siku za kazi ambazo wafanyakazi hao pamoja na wapishi wanaweza kufanya kazi na hata kiwango cha ziada cha marupuupu watakachopata.

Mageuzi hayo ya kikatiba yataanza kutekelezwa wiki ijayo wakati ambapo rais wa nchi hiyo Dilma Rousseff atatia saini mswaada huo.
Mabadiliko hayo huenda yakaongeza gharama ya kuwaajiri wafanyakazi wa majumbani kwa asilimia ishirini.
Kulingana na shirika la wafanyakazi duniani Brazil ndio nchi yenye idadi kubwa ya wafanyakazi wa majumbani duniani wakiwa milioni saba.

HII NDIO COVER MPYA YA SINGLE INAYOFATA YA KANYE WEST


Wakati wote Kanye anapotaka kutoa album yake inakuwa kama ni event, matokeo yake vyombo vya habari na ,mashabiki wanashindwa kusubiri kujua kuhusu  ujio wake mapema iwezekanavyo.
kwa bahati mbaya, matarajio yao yanapelekea kuwepo kwa nyepesi nyepesi na ripoti ambazo saa nyingine zinakuwa sio za kweli, kwanfano kumekuwa na ripoti kadhaa kuwa album ya 6 ya West itakuwa inaitwa black American physcho, mara Rich Black American, na sasa kuwa ni Iam God
kutokana na post ya The Huffington, mtu wa karibu sana na Kanye kuwa "Iam God" sio jina la tittle ya album, lakini haliko mbali na tittle ya single yake inayofata.
msanii chini ya G.O.O.D. Music,Malik Yusef amethibitisha tittle kupitia mtandao wa twitter 
@teamkanyechi its “I am(A) GOD” FAMO #psalms 82
— Malik Yusef (@malikyusef) March 26, 2013
inasemekana title hiyo imetokana na passage kwenye biblia Psalms 82:6-7 ambayo inasema “I have said, Ye are Gods and all of you are children of the Most High. But ye shall die like men, and fall like one of the princes.”
tofauti ndogo ya kuongeza  “a”  kuifanya iwe “I Am A God” ni kutofautisha kuwa wimbo hau suggest kuwa Kanye mwenyewe ndio the Creator lakini mtu huyo huyo ananguvu ya kuwa  greater being.
West amekuwa na historia ya kuhusisha idea na picha za kidini katika kazi zake. moja kati ngoma zake zilizofanya vizuri ni “Jesus Walks”  kutoka kwenye album ya off The College Dropout, alitokea kwenye cover ya Rolling Stone akiwa na taji la miba ambalo huwa linaonekana kwenye picha ya yesu, cheni kubwa yenye miungu ya Egymp Horus katika video ya "Power" na "Watch the throne", No church in the wild" amegusia theme ya morality versus decadence.
mpaka sasa haijatangazwa single wala album hiyo itatoka lini

KIM KADARSHIAN AKANUSHA KUWATUKANA WANAIGERIA

Lei hii ilikuwa ni gumzo kupitia mtandao wa twitter pale ilipoonekana tweet kutoka kwa star wa reality show "Keeping up with the Kadarshian" na baby mama wa Kanye West, Kim Kadarshian iliyokuwa ikiwakejeli wanaigeria kuwa nchi yao inakera na kuwa wanawake wao wanafanana na masokwe 
Baada ya tweet hiyo kusambaa ghafla kama kirusi, Kim aliamua kuandika na kukanusha kuwa sio kweli, na kuwa sio yeye alieandika tweet hiyo na kudai ilifanyiwa photo shop


Wednesday 27 March 2013

BEBE COOL ASAFISHA HOSPITALI YA MULAGO

Bebe Cool siku ya jumapili alionekana katika hospitali ya Mulago, akisafisha kuhakikisha wagonjwa wanakaa katika mazingira safi.
mwanamziki huyo wa "kabirinage" mwanzoni alimchana Chameleon kuwa hakustahili kuwepo katika list ya wasanii matajiri Africa, ambapo Chameleon pia alimjibu kwa kusema hajali yeyote katika fikra za watu wake kuhusu utajiri wake, ila anachali yeye ni kuwapa kile wanachostahili watoto wakekutoka katika mziki wake, wakati Bebe Cool anaamini utajiri unaangaliwa katika kiasi unachokitoa kwa wanaohitaji.
siku ya jumamosi Bobi alitumia muda wake wa asubuhi kusafisha mazingira ya hospitali hiyo na mchana wake alienda kwenye uwanja wa zamani wa Rugby kuuza gari lake la kwanza na mauzo mengi kuyaelekeza katika kuchangia watoto wanaosumbuliwa na ugonjwa wa Sicle-cell nchini Uganda.
wakati houo huo siku ya jumapili ambayo itakuwa ni Easter Sunday, Bebe Cool atakuwa kwenye show ya East African Carnival inayofanyika kila mwaka akifanya show na wasanii wakubwa kutoka Kenya kama Nameless, P-Unit, Nazizi, Wyre na Uganda, Bebe Cool atasindikizwa na GNL, Rema, Mun*G, Stecia Mayanja, Sophia Nantogo na Catherine Kusasira.


Tuesday 26 March 2013

DNA AIKODOLEA MACHO CALIF

dna10
Mkali wa kibao cha ‘maswali ya polisi’ DNA amepishana maelewano na Clemo wa Calif Records kutokana na kuona haki zake zimekiukwa kwa matumizi mabaya ya ngoma yake kali ya Maswali ya Polisi.
Beef hili mzizi wake ni kutokana na kitendo cha Calif Record kuweka ngoma hii ya maswali ya Polisi katika mtandao wa Youtube bila makubaliano naye na hii kusababisha Calif kuonekana kuwa wao ndio waliotengeneza mkwaju huu wakati kiukweli ni kazi safi ya Grandpa Records.

Tayari DNA amekwishaanza kuchukua tataribu za kisheria akishirikiana na Mamlaka ya Hakimiliki ya Kazi za wasanii nchini Kenya ili kuweka sawa msala huo.

KUNDI LA P. SQUARE LAVUNJIKA

P-Square1-460x396
Kumekuwa na uvumi kuhusu wasanii wanaoliunda kundi la muziki la PSquare kutengana kiasi cha mashabiki wao kubaki wameduwaa.
Hata hivyo Peter na Paul Okoye wameweka wazi kuwa huwa wanaingia kwenye mitafaruku hadi kufikia hatua ya kupigana makonde huku kila mmoja akitishia kutengana lakini wakadai kwamba kama ni kutengana ambae angeweza kuwatenganisha ni mama yao pekee.

Wawili hao wamesema kuwa mama yao aliwalea na kuwaonyesha upendo na mapenzi na kama ingetokea kuwa siku moja itatokea PSquare watatengana basi yatakuwa ni maamuzi ya wazi na kama mmoja wao ataamua kustaafu muziki basi haimaanishi kuwa wataacha kusaidiana.

DR. JOSE UTAJIRI SI KITU

jose chamilion
Nyota wa muziki nchini Uganda Jose Chameleone ameamua kuweka wazi suala la yeye kukubaliana au kutokubaliana na kuwekwa kwenye orodha ya wasanii nyota matajiri barani Afrika kutokana na utajiri wake alioupata kupitia muziki wake.
Jarida moja la burudani nchini Uganda limeandika habari za Chameleone akisema kuwa hayupo tayari kunyanyaswa na mtu yeyote kutokana na kumiliki utajiri wake alionao kwani yeye kazi yake kubwa ni kuwapa watoto elimu yenye ubora kupitia muziki wake na sio kujigamba kuwa ni tajiri.

Chameleone ambaye pia anatarajia kuzindua albamu yake ya nne aliyoibatiza jina Badilisha mwezi ujao jijini Kampala amemalizia kwa kusema kuwa yeye si kitu si chochote linapokuja swala la utajiri kwani utajiri alionao upo kwa mashabiki wake tu.

OCTOPIZZO ASUKA NGOMA NYINGINE

OCTOPIZO
Mkareee wa michano Humu nchini Kenya rapa Octopizzo ambaye kila kukicha anajichimbia studio akipika vibao vipya hivi sasa amejipanga zaidi kufanya Kolabo na wanamuziki wa kimataifa baada ya hivi karibuni kuanika wazi projekti zake mpya kwa mashabiki wake.
Rapa huyo ametoa kibao kipya alichokibatiza jina ‘We are One’ akishirikiana na bendi moja maarufu kutoka nchini Sweden inayofanya miondoko ya rock inayoitwa ‘Chef’s Special’ akisema kuwa muda wowote kuanzia sasa anatarajia kukiachia hewani.

Octopizzo ambaye hivi karibuni alitumbuiza katika onyesho moja la Dj Final Cut’s and Frankie’s Hip-Hop Culture show imeelezwa kuwa kuna kazi mpya ambayo pia amefanya na wasanii wanoliunda kundi la ‘Just A Band’ hivyo mkae mkao wa kula kwa kazi hizo mpya.

GUNDUA JINSI MWIBA P FUNK NA J. NATURE WALIVYOKUTANA

p-funky
As you know P funk majani na Juma Nature ni maswahiba wakubwa since way back then it’s time you should know how they met
P funk alimfahamu Juma Nature kipindi hicho wakati alipofika Bongo Records kufanya Vocal na Mabaga Fresh kwenye wimbo wao ambao beat ilikuwa produced na Bonny Love.
It was a kind easy kwa P. funk kutambua na kukubali kipaji cha Nature kutokana na Personality yake wakati huo Nature bado anasoma akiwa anaishi Kotaz za kurasini.
Juma Nature
So by the time P funk alianza kumpa Nature opportunities za studio session Nature akawa anaenda Bongo Records akiongozana na Doro and they moved on hadi wakati ambapo wimbo wa ‘Jinsi Kijana’ ulipoanza kufanya poa kwenye Radio.

According to P funk ‘Jinsi Kijana ilivyo kubalika aliona ndio chance ya kutoa album ya kwanza ya Nature na kwa maelezo yake aliendelea kufanya nae album hadi zikafika tano.
P funk told BK Cop kwamba at that moment aliweza kufanya na Nature Tour kubwa tatu malipo yao ikiwa hadi milioni kumi na mbili.
Currently P funk na Nature bado wanafanya kazi ya muziki pamoja ingawa kwa maelezo ya P Majani anasema ni ngumu sana kumpata Nature akiwa focused kama zamani kutokana na kwamba anasafiri kwenye show za mikoani karibu kila wiki.