flash3

Friday 1 March 2013

NEYO: NIMESHAWAHI KUOA NIKIWA NA MIAKA 19


 Licha ya kujulikana kwa kufunguka na kuweka wazi mambo mengi ya kimapenzi katika nyimbo zake, nguli wa r&b Neyo ameweza kuficha siri yake kubwa kwa miaka mingi.

TMZ wameripoti kuwa Neyo amefunguka kuwa alishawahi kuoa akiwa na miaka 19, lakini ndoa yake haikudumu na ilivunjika kwa mda mchache baadae kwa kuwa alikuwa akipenda kuingia katika kazi ya muziki lakini mke wake alikua hataki kabisa na hakuwa akimpa sapoti.

"sasa hivi nipo hapa nilipo, na sijui yeye yuko wapi" alisema kwa utani.
kwa hivi sasa mshindi wa tuzo za Grammy, ameshaendelea na maisha yake ya kimapenzi na ana watoto wawili na girlfriend wake wa kitambo Monyetta Shaw

No comments:

Post a Comment