flash3

Tuesday 20 November 2012

KERI HILSON SOON KUPIGA SHOW Humu Nchini Na TANZANIA.

Msanii mahiri kutoka pande za state almaarufu kama Keri Hilson anayetamba na ngoma kali kama That way you love me,Pretty girl Rock na ngoma nyinginezo kali,mpaka kupelekea mashabiki kumkubali katika tasnia ya muziki,sasa latest info ambayo tumeipata kutoka kwa msanii huyu ni kwamba leo asubuhi aliamua kuandika katika ukurasa wake wa facebook kwamba mwezi wa Desemba itakuwa ni mara yake ya kwanza kupiga show kali hapa Tzee na kenya.

No comments:

Post a Comment