flash3

Wednesday 25 September 2013

TAMASHA LA KWANZA LA FILAMU DAR-ES-SALAAM

TAMASHA LA KWANZA LA FILAMU DAR-ES-SALAAM Hili tamasha la kwanza la filamu (Dar film festival) ambalo litafanyika tarehe 24-26 September 2013 kwenye viwanja vya posta kijitonyama Dar -es-salaam kuanzia saa 11 jioni.

Fika na uwashuhudie wasanii mbalimbali ambao wanafanya bongo movie na kuweza kujua mambo mengi kuhusiana na swala zima la bongo movie. Kingilio ni bure kwa watu wote.

No comments:

Post a Comment