flash3

Wednesday 8 July 2015

BEEF kati ya PROD MANECKY na DIAMOND sasa limefikia hapa.....

Dakika kadhaa zilizopita Prod Maneck alipost kitu kwenye account yake ya Instagram kama unavyoona kwenye picha hapo juu na kuonesha kuwepo kwa upendo uliopotea toka zamani kidogo kati yake na msanii Diamond Platinumz. Kwa sasa majamaa hawa wako poa na wako tayari sasa kufanya kazi kama zamani ili kuijenga vizuri Bongo Fleva. 

No comments:

Post a Comment