flash3

Thursday 7 February 2013

AFANDE SELE AMPA UFALME ROMA


Legend wa Hip Hop Music Tzee Afande Sele ambaye jina lake halisi ni Selemani Msindi amemvulia kofia msanii anayetisha kwa sasa katika gem Roma Mkatoliki akidai ndie ”mfalme” kwa sasa kwa umahiri wa kuandika mistari yake.
Afande amefunguka kuwa

ukali wa rapa huyo unampa hope kubwa ya kuhisi kwamba wamepatikana warithi wa kuendelea Hip Hop Tzee akimpa sifa kabambe kwa kuwa na uwezo mkbwa wa kutunga mistari ya ngoma zake.
Mkali huyo wa Hip hop kutoka Morogoro amefafanua kuwa katika muziki wa kizazi kipya kuna usaliti mkubwa hali ambayo inamfanya sasa kuamua kupumzika kwa muda na kujikita kwenye masuala ya filamu.

No comments:

Post a Comment