flash3

Tuesday 5 February 2013

Q CHIEF NDANI YA BBA????

 Kutoka 255 ya xxl ya Clouds Fm, mtu mzima Q chief, amehabarisha hatua aliyoichukua leo hii, kuelekea katika office za MultChoice zilizopo barabara ya Ally Hassan Mwinyi, na kuchukua form kwa ajili ya usahili wa kumpata muwakilishi atakaeiwakilisha Tanzania katika mashindano hayo mwaka 2013.Qchief amekua ni mtu maarufu wa pili kuchukua form baada ya mwanadada Wema Sepetu kuchukua form wiki iliyopita

No comments:

Post a Comment