flash3

Thursday 14 February 2013

MOURINHO: HATUWEZI KUTOKA KAPA OLD TRAFORD




Mourinho ana amini kwamba Real Madrid watafunga goal zaidi ya moja watakapo kutana tena na Manchester United huko Old Trafford.
Mourinho aliwaeleza sky sports kwamba “Wachezaji wangu wametoa kila walichokuwa nacho, mchezo huu ulikuwa mgumu na nisingeweza kukubali kufungwa 1-0. Ni wakati wetu sasa kwenda old trafford, 1-1 sio matokeo mabaya tunaamini kuwa tunaweza kufunga goal zaidi ya moja huko old trafford”

“Walipata nafasi mbili nzuri kipindi cha pili lakini nafasi hizo hazina maana sana kwamaana sisi ndio tulimiliki mpira sana. Hii ni ligi ya mabingwa, ni mechi mbili nyumbani na ugenini. Mechi yao wamefanya vizuri.

No comments:

Post a Comment