flash3

Tuesday 4 December 2012

KAMA WEWE NI SHABIKI WA DULLY SYKES INATUHUSU HII

Msanii wa Bongo Fleva almaarufu kama Dully Sykes, siku ya leo anatimiza miaka kadhaa toka azaliwe kwa hiyo kama wewe pia unazaliwa siku kama ya leo, basi utakuwa unasherekea siku yako ya kuzaliwa na msanii huyo.Team nzima ya mfb-ent.blogspot.com tunamtakia kilala heri.

No comments:

Post a Comment