flash3

Monday 23 April 2012

SUGE KNIGHT AMTISHIA RICK ROSS ASIFANYE NGOMA ITAKAYOITWA “TUPAC BACK” KAMA DIDDY ATAHUSIKA

 Aliyekuwa mmiliki wa Death Row mkali Suge Knight

 ametishia kumletea noma kwa Rick Ross, wakati 
Suge Knight akidhani labda 2Pac anaweza akawa
 ajafa imesababisha Suge kuwa talk of the town, 
inaonekana hicho sio tu alichokisema wakati wa mahojiano
 na 93.5 KDay. Suge Knight alitishia kummind Rick Ross
 kwa ajili ya ngoma ya “Tupac Back”.

Kwenye mahojiano hayo ndani ya 93.5 KDay  na Tatoo
 na Cee Cee, Suge Knight alisema mshikaji akivuka 
mipaka itakua noma, Rozay namkubali sana, anajua
 kuandika anabars za ukweli misina nae noma ila akiwa 
kwa Diddy alafu afanye ngoma inaitwa Tupac Back
 itakuwa noma…Suge Knight anajua Diddy ndo anahusika
 na kifo cha mkali Tupac Amaru Shakur “Siwezi nikakaa
 hapa alafu nikasema namchukia Rozay” alisema Suge Knight.

 “ Coz Kama mtu mwingine yeyote hatumjui Rozay ni mchizi 
anaetumia jina la mtu mwingine kwanza alikuwa askari magereza, 
sio kama namchana wala sina chuki binafsi anafanya good music
 huwezi kuondoa hicho kwake” . Kwa sasa audio ya mahojiano
 hayo tayari yameshatolewa rasmi ili watu waweze kusikia,
 93.5 KDay wanaicheza kwa kuridia mara kwa mara.

No comments:

Post a Comment