flash3

Thursday 7 November 2013

Picha: Jacklyn Walper adhalilishwa facebook awaomba mashabiki kuwa na roho ya huruma kidogo

Akionyesha kusikitishwa na kile kinachoendelea facebook, leo hii muigizaji bongo movie,Jackline Walper ameanika maongezi yaliyokuwa yakiendelea katika akaunti ya Walper fake kupitia facebook ikionyesha chati iliyoonekana Walper akiomba sh 20,000 kwa ajili ya kununua umeme mara baada ya kutaikiwa na umeme huku akifanya kazi zake kwenye computer. 

Walper aliweka maongezi hayo yakiambatana na manenoo haya kwa chini

wolpergambemashaniki zangu haya ndo mambo ya fc bk dah hvii kweli ndo wanavyonidhalilisha plz nisaidien ata kuamdika huko kwa fc bk zenu situmii jina lolote zaidi ta wolper gambe real .siyoo vzuri jamani muwe na roho ya huruma kdogo dah

No comments:

Post a Comment