flash3

Monday 10 September 2012

FID Q ATOA TAMKA JUU YA TUHUMA ZA KUKOPY NA KUPEST WIMBO WA DANGER .......

Siku tatu baada ya Fid Q kutuhumiwa na orijino komedi kwa kukopy na kupesti wimbo wake wa danger kutoka kwa msanii wa marekani,leo hii amezungumza na fetty na kusema kuwa jamaa aliechana kwenye beat hiyo ni mwizi,
"ametuibia sisi yaani mimi na producer choba..mwanzoni aliomba kuitumia lakini alishindwa kuilipia akaingia mitini.. ndio maana ni msanii ambae hapatikani twitter, facebook na wala hana website na yeyote atakaekuwa na info zake atuambie maana wenyewe tunamtafuta...msikilize hapo chini

No comments:

Post a Comment