flash3

Friday 21 September 2012

GOLDIE SOON ANATARAJIA KUFANYA COLLABO NA AY

Baada ya mshiriki huyu wa Big Brother star game  kuja pande za 254 nchini kenya kimya kimya na kufanya collabo na msanii anayejulikana kwa jina la Navio.Sasa habari ni kwamba Goldie anatarajia pia  kutua hapa bongo kuja  kufanya collabo na Ambwene Yesaya a.k.a AY katika studio ya MJ record.Tunatarajia muonekano mpya wa nyimbo hiyo mpya ambayo itafanywa na Goldie pamoja na Ambwene Yesaya a.k.a AY.

No comments:

Post a Comment