flash3

Friday 19 October 2012

ANTI EZEKIEL AFUNGA NDOA ABADILI DINI SASA ANAITWA RAHMA

   Baada ya siku chache kutangaza katika vyombo vya habari kwamba anatarajia kuolewa sasa habari imekamilika. Ezekiel amefunga ndoa jana mida ya saa mbili za usiku baada ya kubadili dini na kujulikana kama Rahma kuanzia hivi sasa na mchumba wake anaejulikana kwa a.k.a  Demonte  na baada ya kufunga ndoa hiyo aliamua kuweka ushahidi huu katika mitandano mbalimbali kwamba mashabiki wake wote pamoja na marafiki wafahamu kwamba ameshaolewa. TUNAKUTAKIA KILA LA KHERI KATIKA MAISHA YAKO YA NDOA

No comments:

Post a Comment