flash3

Wednesday 31 October 2012

SAJUKI SOON KUTOA NGOMA YAKE MPYA


Baada ya kuumwa sana na ugonjwa usiofahamika sasa msanii huyu wa Bongo movie hivi sasa anatembelea pia ana driving yeye mwenyewe kwa kweli inatupasa tumshukuru Mungu kwa kupona kwa msanii wetu.Sasa jana baada ya kuwasili hapa mjengoni aliweza kuwashukuru watu wote walioweza kumchangia kiasi cha Fedha ili aweze kupata matibabu lakini msanii huyu aliweza kufunguka na kusema kwamba japokuwa anafanya Bongo movie lakini amefanya ngoma ya mpya soon anatarajia kuiachia siku za h

No comments:

Post a Comment