flash3

Thursday 25 October 2012

DALLAS WA WOLPER AMNYANG’ANYA GARI BOB JUNIOR

Stori: Shakoor Jongo

STAA wa Bongo Fleva, Raheem Nanji ‘Bob Junior’ amenyang’anywa gari aina ya Toyota Mark II na zilipendwa wa mwigizaji Jacqueline Wolper, Abdallah Mtoro ‘Dallas’.

Sosi wetu alisema: “Unajua Bob Junior ndiye aliyefanikisha Dallas kumpata Wolper, sasa baada ya wawili hao kumwagana ndipo jamaa akaamua kulichukua gari lake kwa Bob Junior.”
Raheem Nanji ‘Bob Junior’
Dallas alipopatikana na kuulizwa alikiri: “Lile gari ni mali yangu, nilimpa

No comments:

Post a Comment