flash3

Wednesday 17 October 2012

JAY Z AFUNGUKA KUHUSU KAMPENI ZA BARRACK OBAMA

Kutoka pande za Obama land tunakutana na msanii anayefanya vizuri katika game la muziki huyu si mwingine ni Jay z sasa basi msanii huyu amefunguka kuhusiana na Rais Barrack Obama huku akisema kwamba anasifa za kuchukua uongozi pia ni rais mwenyewe changamoto mbalimbali hapa American.Hayo ndiyo maneno ya Jay Z kama vipi ebu fanya kama una click hii video uone jinsi alivyotiririka!!!!!!!!  

No comments:

Post a Comment