flash3

Tuesday 30 October 2012

EXCLUSIVE:SUMA LEE AIBIWA GARI LAKE MAENEO YA COCO BEACH

Kama unakumbuka lile gari ambalo mtu mzima Suma Lee alilopata nalo ajali kipindi akielekea zake mkoani Kigoma  kupiga show, sasa habari ambayo tumeipata hivi sasa kutoka kwa msanii huyu ni kwamba siku ya Jumapili iliyopita akiwa zake maeneo ya Coco Beach alijikuta ni mtu ambaye sio mwenyewe furaha baada ya kuibiwa gari lake siku hiyo.

No comments:

Post a Comment