flash3

Wednesday 24 October 2012

HAWA NDIO WANAONGOZA KWA KULIPWA MKWANJA MREFU KWENYE BONGO MOVIES


Industry ya entertainment Tanzania is still a boy’s town ambapo wanaume bado wanapata mapato makubwa kuliko wanawake especially katika filamu. Lakini usijari, still bado mademu wana uwakilishi mzuri kwa upande wa Top female stars.
Katika kiwanda ambacho kwa sasa kinaongoza kimapato katika upande wa burudani – men are still leading for earning more money lakini girls are not too far behind.
Your leading entertainment magazine has done its research kwa kuongea na na producers mbalimbali wa movies na waigizaji wenyewe kuhusu malipo wanayo-demand na kulipwa per movie.
Here are the 5 girls who run the film industry kwa sasa kwa kufanya vizuri kwenye movie industry kwa kuongoza kwa mauzo ya filamu na kulipwa mkwanja mrefu zaidi – talking about their earnings na mambo yote yanayoizunguka tasnia ya filamu Tanzania.
Ukitaka kujua nani analipwa mkwanja zaidi jipatie copy yako mpya ya BaabKubwa Magazine mtaani kwa

No comments:

Post a Comment